Nitaendelea Kusaka Mke hata Kama ntaambiwa umba wa kwako Vigezo ni hivi

Muyohza

Member
Dec 22, 2020
51
109
Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!

Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$

natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma

9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!

nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri

ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi

C95EBACC-4950-4AE5-AD7D-F06493781063.jpeg


EBE0CA08-DBA3-487A-93A1-50991C0190B4.jpeg


EFBD479B-E0C8-4BB4-9323-A810D384C84C.jpeg
 
Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$

natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma

9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!

nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri

ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi

View attachment 1937485

View attachment 1937486

View attachment 1937487
Sasa si umuoe huyo uliyeweka picha yake?
 
Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$

natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma

9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!

nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri

ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi

View attachment 1937485

View attachment 1937486

View attachment 1937487
Karagwe hakuna wahaya kuna wanyambo mkuu
 
Umeweka na picha kabisa(mfano hai)siyo mkuu

Safi sana mkuu ili mwanamke akiguwa ajilinganishe kwanza na hizo picha

Kila la kheri
 
Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$

natafta Mke wa Kuoa ambaye atakuwa na sifa zifuatazo
1. Mwonekano uwe namna hii Kama sivyo usiendelee
2. Mkristo
3. Umri 23-30 basi
4. Uwe tiyari kusafiri
5. Usiwe na mtoto hata ukificha ntagundua
6. Elimu Usiwe chini ya Form four
7. Usiwe mfupi
8. Kabila lolote lile ila ningependa makabila yafuatayo Nina sababu zangu
A. Mnyakyusa : mtu wa nyumbani
B. Mchanganyiko wa muhaya na wanyarwanda kidogo au Muhaya wa karagwe
C. Msukuma

9.Uwe una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato
10.uwe tayari kwa ndoa!!

nitajibiwa ooo Umba wako !! Mimi lazima niseme Chenye roho inapenda sitaki kumcheat Mke wangu!!! Mke ni pambo lazima tuoe wazuri

ntaambiwa hujawa tiyari kuoa niko tiyari tena ndoa nataka iwe February ndo ntakuwa Tanzania
DM Kwa mazungumzo zaidi

View attachment 1937485

View attachment 1937486

View attachment 1937487
Mnyakyusa oa wa kwenu Tukuyu huko. Shepu mashallah sura ya Baba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom