JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Ni zaidi ya msiba
....tulishirikiana kwa kila hali, ninasitisha kila kitu kwa ajili ya kuhitimisha safari ya mwisho ya dada yetu mpendwa.
bila shaka mazishi yatafanyika kwa mkuya ifakara mjini.
pia tunaweza kufanya utaratibu wa kutuwezesha members wa jf kuhudhuria mazishi
mungu aiweke roho yake mahali pema peponi
AMIN
....tulishirikiana kwa kila hali, ninasitisha kila kitu kwa ajili ya kuhitimisha safari ya mwisho ya dada yetu mpendwa.
bila shaka mazishi yatafanyika kwa mkuya ifakara mjini.
pia tunaweza kufanya utaratibu wa kutuwezesha members wa jf kuhudhuria mazishi
mungu aiweke roho yake mahali pema peponi
AMIN