makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,024
- 80,699
Nikikwambia utaje sababu ya msingi sidhani km utakuwa nayo zaidi ya kufata mkumbo kwa kusema spea zake ghariNissan hata bure sitakiii
Nikikwambia utaje sababu ya msingi sidhani km utakuwa nayo zaidi ya kufata mkumbo kwa kusema spea zake ghariNissan hata bure sitakiii
Nikikwambia utaje sababu ya msingi sidhani km utakuwa nayo zaidi ya kufata mkumbo kwa kusema spea zake ghari
Hata wewe hizo unadhani ni sababu za msingi kwako kwa mwingine hazina mashiko.
Kwa ufupi nimepata neema ya kutumia Nissans, Toyotas, Isuzus, Landrovers, suzuki nk zote zikiwa models mbalimbali mpyaaaa. Na performance ya Nissan haikuniridhisha kabisa.
Hata ukitumia Dar express saa saba saa nane una ingia arusha...Ukipata huu mnyama, ni noma ukiwa nao high way...
Tulitoka Ubungo mida ya saa sita kwenda Arusha, wenzangu walitangulia na huu mnyama, mie nilikuwa na mwingine kwa nyuma.
Basi wao wakawa hawajanielewa uwezo wangu wanaenda taratibu taratibu. Mie nikawa nawaambie ngoja tufike Chalinze niwaoneshe maujuzi.
Basi tulipovuka mzani pale Chalinze hawakuamini walichokiona. Mara mia arobaini, mara mia hamsini... Duh, yani tulitumia kama masaa saba-nane hivi kufika Arusha... Hii chombo ni balaa sana ukiwa highway...
View attachment 1096423
Mzee sio za magumashi? Maana huko Kenya wana rudisha magari ya utapeli toka UK...Kuna Machimbo ya Nissan
Yawezekana yako ilikuwa imenyooka zaidi ndomana
Ova
ndo td42 the same engine on y60 patrol.Napenda gari za Nissan zenye engine ya Diesel. Injini ina mungurumo mzito hadi raha. Ila haifai kwenda kuchukulia mtoto wa geti. Maana ukifika mahali, kila mtu anajua. Napenda zaidi injini za Nissan Civilian. Zile injini zina mungurumo mtamu balaa!
Nipo mkuu Nissan kama kawaMzee wang nguma upo huku asee
Thubutu ngoma iko moro imepaki inapumzikaChombo ya mrangi naona iko juu ya mawe sasa!
Kna mwana mmja yuko kimara anaitwa DennisHahah kuna mwana anaiuza kama hio td 42 manual kwa pesa ndogo tu,nataka niifanyie makeke niifungie trailer ya 2 tonnes niingie nayo field.
Najua utaipiga madongo haina mbio hahah.
Aisee safi sana na gharama zake zimekaaje mwanangu?Kna mwana mmja yuko kimara anaitwa Dennis
Huyo Ana pimp Nissan na land cruser hatari
Ah RRONDO si mzee Wa european cars
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kna mwana mmja yuko kimara anaitwa Dennis
Huyo Ana pimp Nissan na land cruser hatari
Ah RRONDO si mzee Wa european cars
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa Y61,naona upele umepata mkunaji.
Kumbe chombo bado iko road!Thubutu ngoma iko moro imepaki inapumzika
Hiyo Kaz Kaz safari popote
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hio kwa field inafaa sana.Hahah kuna mwana anaiuza kama hio td 42 manual kwa pesa ndogo tu,nataka niifanyie makeke niifungie trailer ya 2 tonnes niingie nayo field.
Najua utaipiga madongo haina mbio hahah.