Nissan patrol(black panther)

Chombo ya kazi hii inaitwa unyama unyama.
Tmerudi mjini

Ova
20190514_143339.jpg
20190514_144259.jpg
20190514_143350.jpg
 
are you serious??
Unatudanganya...

Umbali wa Arusha to Dar ni wastani wa km 640 kupitia bagamoyo...chalinze ni 670 kama sikosei...
Chukua km 670 gawanya kwa masaa 3 uliyosema...
nadhani jibu ni 223.333...
Hii inamaana kwamba ili dereva atumie masaa 3 safari ya Dar to Arusha ni lazima dereva huyo aendeshe mwendo wa 223kph bila kusimama popote wala bila kupunguza mwendo.
Hata msafara wa raisi hauendi mwendo huo.

Kwa matuta yaliyopo, tochi, kusimama kuchimba dawa na kula, milima, kona na kuzingatia usalama wako na watu wengine wanaotumia barabara, Arusha to Dar masaa 7 mpaka 8 ni reasonable kabisaa.
Usiku masaa 5 mpaka 6
Nimefuata alichosema huyo hapo juu.
 
Utani huu, masaa 3 labda chopa ila sio gari kwa barabara hizi.
Unaweza vip kukimbia 180 kwa matuta yote hayo njian na vizuizi vya trafik?
Masaa 7 kufika arusha?

Hata mke wangu ambaye ni lena anafika kabla ya huo muda.

Huo muda ni wa kufika mbeya au mwanza.

Nilitegemea uniambie masaa 3 au 4.

Arusha karibu sana.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom