Nissan patrol(black panther)

mrangi

JF-Expert Member
Feb 19, 2014
80,099
104,527
Naikubali sana hii mashine
Engen td42 ..y60
Popote safari hkuna kulala njiani
Kazi kazi

Ova
20190508_003439.jpg
 
Napenda gari za Nissan zenye engine ya Diesel. Injini ina mungurumo mzito hadi raha. Ila haifai kwenda kuchukulia mtoto wa geti. Maana ukifika mahali, kila mtu anajua. Napenda zaidi injini za Nissan Civilian. Zile injini zina mungurumo mtamu balaa!
Sauti za gari ninazopenda
BMW X3 3.0i
LR/RR V8
Cruiser V8
Prado 2013- diesel ule mluzi wa Turbo ni mtamu balaa
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom