davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Sijawahi kumiliki gari lakini natamani siku moja nimiliki NISSAN au SUBARU . Ila nissani bei iko juu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
SUV nyngne ambayo unaweza kuipata kwa hela hyo ni Honda CR-VWakuu nianze kwa kuwasalimu na kuendelea kukumbushana pia kuhusu namna ya kujikinga na hili gonjwa la sasa.. Corona
Naomba nije kwenye topic kuu sasa....
au honda cross road aka small hummer
Yes..
Hapo kwenye ubaya umenigusa nina Nissan Murano ya 2005. Bado iko bomba lakini wateja wanaliogopa.Nitajibu kama ifuatavyo...
Uimara.....Magari yote yaliyotengenezwa miaka ya 2004 na kuendelea yanafanana kwa silimia kubwa uimara wake bila kujalisha make...yaani ni magari ambayo uimara wake unategemea na unavyolitunza......Usitegemee dunia ya leo kupata SUV ngumu kama Jeep zilizotumika kwenye Vita bya Vietnam...
Murano generation ya kwanza watu wanaziogopa kwa sababu inasemekana zina mechanical issues kwa upande wa gear box .....Lakini generation ya pili nadhani hilo tatizo NISSAN wamelifix...Hapo kwenye ubaya umenigusa nina Nissan Murano ya 2005. Bado iko bomba lakini wateja wanaliogopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nissan gari ya starehe kiaina ukilinganisha na Toyota ila ujipange spea. Nimetafuta shock-up za Nissan Fuga mpaka duka wanaita MasterCard nimeambiwa hawana labda niagize nje. Beforward Bei imechangamka Sana. Najuta kuifahamu NissanMkuu asant kwa ushauri wako , ngoja nione wadau wengine watanishauri vipi
Nissan gari ya starehe kiaina ukilinganisha na Toyota ila ujipange spea. Nimetafuta shock-up za Nissan Fuga mpaka duka wanaita MasterCard nimeambiwa hawana labda niagize nje. Beforward Bei imechangamka Sana. Najuta kuifahamu Nissan
Nakuunga mkono kwa asilimia 100% but sio muuzaji wa puma but niseme tu pale kuna aina zote za ATF tatizo liko kwa wamiliki wa magari wenyewe maana wamekalili T-ii oil pekee kwamba ndo inaingia kwenye gari zao bila kuangalia chini ya dipstick wameandika nnUkifuatilia Japanese cars, utagundua Nissan waliwahi kutumia technology mpya ya CVT kabla ya Toyota....sasa cvt za nissan zilipoingia mtaani,mafundi wa mwembeni wakaziponda na kuwaanisha watu ni mbovu, kumbe wao ndiyo wabovu...walizoea kuchokonoa Ordinary Automatic Transmission za Kwenye Corolla na Carina....
Nadhani wanaogopa CVT kwa sababu mbili kubwa.
1. Wabongo tunapenda vitu vya bei rahisi...mtu anataka kumwaga oil ya gear box asitumie zaidi ya 80k...
Tugusie kidogo hapa mkuu kwenye spare kwa mifanoMimi namiliki Nissan Dualis 2008. What I can say ni it’s the best purchase I have ever made. Gari liko smooth on the road, posh inside yaani na ukipata ile ya rooftop kuwa na glass yaani ni kama unaendesha evogue. Pia iko juu sana. Nina kama mwaka sasa niko na hili gari, changamoto zake ni spare ni VERY EXPENSIVE..
Hata mimi nahitaji kujua kwenye bei hapa kabla sijanunua hiyo gari naimudu kuimiliki au la.Tugusie kidogo hapa mkuu kwenye spare kwa mifano
Murano imekaa kike-kikeKwa bajeti yako pia ongezea Nissan murano toleo la kwanza cause zimeshuka sana bei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shock up - 1 pc andaa Laki 6 TZSHata mimi nahitaji kujua kwenye bei hapa kabla sijanunua hiyo gari naimudu kuimiliki au la.
Kwa mfano shockup ikifa ni bei gani kureplace?service yake ni bei gani kwa mwezi?
Shock up - 1 pc andaa Laki 6 TZS
Duh, parefu mno! Ila mjifunze kuaiza vitu kutoka nje , ni rahisi sana huko kuliko kupangiwa matokeo na viduka vya usiku hapa bongo.Shock up - 1 pc andaa Laki 6 TZS
una miliki hii gari?Shock up - 1 pc andaa Laki 6 TZS