Nisome nini ili niwe miongoni mwa "white hackers" hatari duniani kwenye suala la computer na mitandao kiujumla?

Tatizo unauliza wrong people..mbona hackers JF wapo wengi tatzo we ni beginner Sana ndoman hata kukujibu wanaona uvivu..ngoja mm nikupe mwongozo kidogo naona Kama una kauserious kidogo.

kwanza ujue hii field ya Cybersecurity ni pana sana na ina mamb mengiii
.penetration testing
.Incident Response
.Forensics
.Crptography
.secure network,secure Database ect.
**Bug hunting

unaweza kuchagua kubobea kwenye category moja..na mara nying wengi wanaoingia kwenye field hii huanza na foundation kwanza ambayo ni Diploma au Degree katika IT,ICT,Cs,CE baada ya hapo ndio unajifunza category mojawapo kati ya hizo ..au unaweza kujifunza kwa kuchukua Degree ya cybersecurity wacheki UDOm na wengine.

kwa mujib wa maelezo yako ww unahitji tu kuwa bug hunter yaan upige pesa kwa kugundua bugs kwenye apps hii ni simple tu hautaji kuwa expert wala degree holder wa IT,CS,ICT ect..wacheki hawa hackerone.com au bugcrouwd.com.
watakupa tutorials za kusoma ila ni lazma ujifunze programing.
Nakushukuru sana mkuu.Mungu akubaliki.Nitafanyia kazi ushauri wako.
 
8

Yani uende google uka-google material yanayokupa mbinu za ku-hack google?
Kwani google kazi yao si kutunza data tu mkuu! Kwani wanasoma kila kitu kinachowekwa mle, kila dakika mamilioni ya data yanawekwa si dhani google kama wanawafanyajazi wa kutosha kuchambua kila kitu.Nimewahi ikuta tutorial ya how to make hydrogen bom la Hiroshima.Google kuna mambo mengi sana ya uharibifu.Ukitaka kuunda chochote kwa msaada wa google na you tube inawezekana. Teknolojia pekee ambayo kizazi hiki kinafaidi ni gooogle na you tube.Vizazi vijavyo vitashangaa kama kizazi chetu kitakuwa na watu wajinga despite all these technologies.
 
Ni kweli, mfumo wetu wa elimu si rafiki sana katika kumfanya mtu kuwa m'bunifu.Ila naamini wakubwa wanapitia hii mitandao ya kijamii.Watasikia kilio chetu.
Mkuu utazeeka ukisubiri hio mifumo iboreshwe.Wenzio wanafanya mambo yanayoonekana na layman kuwa makubwa.Hawawazi jinsi ya kukuza technolojia Afrika.Ukiwa na idea kubwa find big company uza hio hatsma ulaya wanafanya.mfano tiktok billgate anamipango ya kuinunua.Wanasiasa waafrika hawawezi kukuza technolojia hata siku moja,huo uwezo hawana.
Watu pekee wanaoweza kukuza teknolojua ya Afrika ni wanasayansi wenyewe na matajiri kama Dangote wakishawishiwa sio serikali za Afrika.Sahau mkuu,sugua akili kivyako.
 
Kuwa hacker mzuri hauitaji usome hata... ni kitu ambacho kinakuwa ndani ya damu.. hacker wengi wa kusomea ni watupu sanaaaaa

Kusoma sio lazima kuingia darasani, muelekeze course au fields za kusoma ili atimize ndoto yake. Ila kuna ukweli kwamba sio kila mwenye shahada/stashahada ya ICT anajua hacking.
 
Soma vifuatavyo:
-Progamming Language(s): Hii ni lugha inayotumika kuunda mifumo ya kompyuta. Itakusaidia kutengeneza mifumo ya kuvunja nywila, kushambulia kompyuta nyingi, nk.

-Soma kuhusu computer networks. Hii itakusaidia kujua jinsi mtandao wa internet unavyofanya kazi na madhaifu yake. Utayatumia madhaifu yake kushambulia.

-Soma kuhusu Databases. Ukijua madhaifu yake waweza kubadilisha taarifa au kuziiba au kuzifuta.

-Soma kuhusu hardware na hardware programming. Itakusaidia kujua namna malware (virus, mfano) vinavyofanya kazi (ktk memory/storage) na kuvidhibiti au kuvitengeneza.

Usiende college, they are too formal, kwenda college ni kama kwenda CCP Moshi chuo cha polisi ili uwe askari, wakat wewe unataka kuwa mwizi.

Soma kidogo, fanya practical za kutosha, jaribu kuona unaweza ku-hack nn kwa kile ulichokisoma.

Soma kuhusu sheria za nchi ili ujue kile unachokifanya kitakuletea madhara gan. Hapa utasoma Tanzania Cyber Security Act ya 2015 na sheria nyinginezo. Hii ni muhimu maana ktk harakati za kujifunza kuna uwezekano ukavunja sheria. There is a very thin line between white and black hackers.

Mwisho, kuwa white hacker mara nyingi kunahitaji uajiriwe na serikali au uwe na kampuni yako. Requirement hii yaweza kuwa kikwazo kwako.

Mwisho kabisa, sio kitu rahis kama unavyofikiria. Utahitaji angalau miaka mitano ya kujifua kabla ya kufikia malengo yako. Need more? Come inbox to know a starting point.
 
Changamoto zako ni hizi:
-Umri (hacking ni rahis kujifunza kwa teenagers na walio ktk 20s).
-Kompyuta umeijulia ukubwani, tofauti na wenzetu ambao teenagers wanakuwa hackers wazuri tu sababu kompyuta wamekua nazo.
-Kukata tamaa. Ni ngumu kukomaa na kitu kwa miaka 3-5 wakat hakikuingizii faida yoyote zaidi ya kukutia hasara ya bando. Faida inakuja baadae sana.

Advantage yako: Huna background ya ICT!!! Hiyo ingawa inaweza kuonekana faida, ila kibongobongo ni disadvantage maana wanakuwa tayari wameshafundishwa kufikiria kwa namna ya defence na sio offence. Hackers wengi wenye kiwango hawana background ya ICT.

*****Cheza na kompyuta kila siku, fanya kile kisichotarajiwa, mfano jaribu ku-save file likiwa na jina refu sana, say characters 2000! see what happens-test your kompyuta's limits.*********** Ndo maana waliozaliwa wanatumia kompyuta karibu wote ni hackers wa kiwango fulani-ni watu wasioiogopa kompyuta, hawaoni ukibonyeza itaharibika.
 
kwa hapo nimekisoma mkuu "huwezi potea njia unayopita kila Sikh isipokuwa utabun chocho za fasta" kW ushaur wangu ,m naomba upate mtu ambaye unaona kW kiasi flan anawez sana haya masuala make sio kukurupka tu kjana, Ila kW kuw una nia maamin ukiweka bidii kufanya uchunguzi zaid utawin,big up sana kW wazo zur endelea kufnya utafit utafaulu
 
Tatizo unauliza wrong people..mbona hackers JF wapo wengi tatzo we ni beginner Sana ndoman hata kukujibu wanaona uvivu..ngoja mm nikupe mwongozo kidogo naona Kama una kauserious kidogo.

kwanza ujue hii field ya Cybersecurity ni pana sana na ina mamb mengiii
.penetration testing
.Incident Response
.Forensics
.Crptography
.secure network,secure Database ect.
**Bug hunting

unaweza kuchagua kubobea kwenye category moja..na mara nying wengi wanaoingia kwenye field hii huanza na foundation kwanza ambayo ni Diploma au Degree katika IT,ICT,Cs,CE baada ya hapo ndio unajifunza category mojawapo kati ya hizo ..au unaweza kujifunza kwa kuchukua Degree ya cybersecurity wacheki UDOm na wengine.

kwa mujib wa maelezo yako ww unahitji tu kuwa bug hunter yaan upige pesa kwa kugundua bugs kwenye apps hii ni simple tu hautaji kuwa expert wala degree holder wa IT,CS,ICT ect..wacheki hawa hackerone.com au bugcrouwd.com.
watakupa tutorials za kusoma ila ni lazma ujifunze programing.
Umekuja kasi sana, ok hacking anayoitaka huwezi somea popote na haina degree wa diploma. Ni passion tu msimdanganye kwenda darasani.
 
Kuna watu wamekupa madini na kuwatu wamekudisi,Chukua positive.
Chakwanza hakuna limit ya elimu yoyote dunuani, tunabahati kuzaliwa ktk age of information.Unajua MIT kizi zao zote zipi freeware? Hivyo hakuna cha kukuzuia.
Kuwa kwako mwalimu ni sifa ya kipekee c'se una skill of hiw to find materials.
Nakushauri fungua account 'quora' Kule utakuwa unaongea na real computer scientists ambao wamefanya kazi Google,Facebook,Apple nk
Fanya research ya kutosha kabla hujaanza kusoma ili ujue nini ni nini ili usimeze rubbish!
Tafuta mentor mitandaoni au jirani.
.Develop self motivation.kujisomea ni ngumu sana hasa kama huna hela na familia inakutinga.
Usiwe mbahiri kununua vitabu, ktk research orodhesha vitabu muhimu.hard copy ni nzuri kuliko soft copy kwa kulinda macho.
.Develop hoby not money hungry
.Kubali kupiteza starehe hata mke nafasi yake itapungua.
Jiunge na site za open project.
Kwa kozi yoyote ile tembelea W3.COM.Kizi zao in bure na ziki classics zumepangwa vizuri hutajuta.
Mimu ni mdau wa self learning, makosa niliyofanya wapi, na kwama wapi, wapi pa kusolve problem.
Aim yangu sio kuwa hacker Bali physist who can prepare his own physics models,games and animation, kudesign electronics system kwa kutumia simulation software ambapi chuo sikusoma hizo course, mwisho kabisa kuhost website ambayo italeta new bright future in academic system.
Jambo gumu kabisa ni ukijiingiza ktk ujasiliamali ujue programming itakuwa kwko ngumu sana, maana hutakuwa na muda wa kutumikia mambo mawili.
 
Umekuja kasi sana, ok hacking anayoitaka huwezi somea popote na haina degree wa diploma. Ni passion tu msimdanganye kwenda darasani.
Mkuu faida ya chuo ni socialization. Atapata team work,mentor, connection ya kampuni.Akisoma nyumbani bado atalazima kufanya certification, kumbuka kuna mambo bila kuwa ba cheti kusajili kampuni inakuwa ishu.Hasara ya chuo unasoma hata mambo yasiyohitajika, unaweza hata ukadisco.
Kwa umri wake a some nyumbani kama anahela ajiunge na online course mfani treehouse wanatoa kozi zote. Kumkura MTU konki mtaani Nazi, wengi ni vyeti owner sio skill owner.
 
Mkuu faida ya chuo ni socialization. Atapata team work,mentor, connection ya kampuni.Akisoma nyumbani bado atalazima kufanya certification, kumbuka kuna mambo bila kuwa ba cheti kusajili kampuni inakuwa ishu.Hasara ya chuo unasoma hata mambo yasiyohitajika, unaweza hata ukadisco.
Kwa umri wake a some nyumbani kama anahela ajiunge na online course mfani treehouse wanatoa kozi zote. Kumkura MTU konki mtaani Nazi, wengi ni vyeti owner sio skill owner.
Hacking hakuna cheti na hairuhusiwi duniani, sasa cheti cha nini? Na ulishawahi kusikia kuna company inayojihusisha na hacking? Na hacking haina ushirika wa kujifunza, ndio maana hackers ni 12-20s na ni kutoka home
 
Hacking hakuna cheti na hairuhusiwi duniani, sasa cheti cha nini? Na ulishawahi kusikia kuna company inayojihusisha na hacking? Na hacking haina ushirika wa kujifunza, ndio maana hackers ni 12-20s na ni kutoka home
Kozi za programming
 
Hacking hakuna cheti na hairuhusiwi duniani, sasa cheti cha nini? Na ulishawahi kusikia kuna company inayojihusisha na hacking? Na hacking haina ushirika wa kujifunza, ndio maana hackers ni 12-20s na ni kutoka home
Ataanzisha security company
 
Hahahaha kuna vitu vingine nikucheka tu . So ndugu yangu unataka ku hack Google na ui amrishe ifanye unachotaka .hahaha. umewai ku hack ata simu tu ya mpenzi wako au account ya fb ya mtu vitu ambavyo ni rahisi kabisa?
 
Kama unataka kuwa hacker mzuri jikite kwenye internet security,mambo ya fire walls nk
 
Kusoma sio lazima kuingia darasani, muelekeze course au fields za kusoma ili atimize ndoto yake. Ila kuna ukweli kwamba sio kila mwenye shahada/stashahada ya ICT anajua hacking.
Hakuna field ya kusoma itayo kufanya kuwa hacker mzuri, hacker wa kwenye makaratasi ni utopolo mtupu
 
Back
Top Bottom