Mimi ni kijana mwenye miaka 29, nina Advanced Diploma in Accountancy toka IFM yenye GPA ya 4.2, nina CPA na MBA. Ninapenda sana kufundisha vyuo lakini nimekuwa nikikutana na ugumu kutokana na kuwa na Advanced Diploma. Nimekuwa nikifikiri kwa muda sasa kuwa nisome Open univestity degree ya Accounting ili nipate 1st class na kuingia kwenye game la kufundisha vyuo vikuu! je wadau mnanishaurije?