orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,675
- 4,240
Brother ile issue ilikua organized ili kuzima yaliyokuwa yanaendelea kwenye serikali yetu hujui nchi yetu inaendeshwa kwa mayukio......hahaha...joking in serious moodKwakweli yaliyotokea jana ni mambo ya aibu katika ulimwengu wa soka. Daah