ambili
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 243
- 15
Hivi kwa mfano ukisikia kuwa huyo mkeo anatafuta mwanaume wa pembeni amridhishe kimapenzi wewe ungejisikiaje?
kama jibu sitakubali basi ujuwe huna haki ya kuanzisha mahusiano na huyo kimada. Lazima tuwahurumie na kuwatunzia heshima wake zetu kwani wanatufanyia mengi sana kwa mapenzi yao juu yetu.
Angalizo:
tusisahau hawa viumbe wana mioyo kama sisi ambayo inauma pale inapochomwa na kuachwa ikiuguza majeraha makubwa.
kama jibu sitakubali basi ujuwe huna haki ya kuanzisha mahusiano na huyo kimada. Lazima tuwahurumie na kuwatunzia heshima wake zetu kwani wanatufanyia mengi sana kwa mapenzi yao juu yetu.
Angalizo:
tusisahau hawa viumbe wana mioyo kama sisi ambayo inauma pale inapochomwa na kuachwa ikiuguza majeraha makubwa.