Nisimboe Mwenza wangu nifanye yepi?

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,166
166
Jamani wana JF hasa katika safu hii, sasa niombe tu utaalamu wenu kuhusu yepi ya msingi sana katika kufanya ndoa iwe imara daima.
maana kuna yale ya chumbani, mitoko, mishiko na mavazi. sasa je ni lipi hasa kwa wanawake ili wasahau na kukuona ni wewe tu, akasahau wengine. na zaidi sana akawa anahitaji kila wakati mnakumbushia yale mambo yetu?
naombeni lipi la msingi na kwa namna gani ili akutamani siku zote
 
1.mwambie akwambie nini anataka umfanyie ili asikie raha ,aman na ajiskie ni MWANAMKE APA DUNIAN

2.Mwambie akwambie anataka wewe uweje ili ajiskie yap ths iz ma men

3.mshirikishe kwenye plans zako ..i itamjengea sense of security n comfort kimapenz na threat nyngne za wanawake wa nje..atajiisi yupo pekeake

4.mwonyeshe km yeye tu ndo anakuown,yeye tu ndo mwenye hati miliki bin lesen juu yako

5.vijizawad ,care na concern nyingne apo mjomba lazima atajiona cleopatra ....KM SI KUNGURU BT KM NI KUNGURU ATA UKIMFANYIA AYO YOTE HATAONA ..atakuona mbwisi tu.

so b carful kwa yule unayemwonyesha mapenz..unaaweza ukamvesha shera nyeupe nguruwe wakat si staha yake ...staha ya nguruwe matope....banda lenye cement mbwembwe...!!!!!1
karibu tujirambe....chai miogo chachandu.....!!!!
 
Jamani wana JF hasa katika safu hii, sasa niombe tu utaalamu wenu kuhusu yepi ya msingi sana katika kufanya ndoa iwe imara daima.
maana kuna yale ya chumbani, mitoko, mishiko na mavazi. sasa je ni lipi hasa kwa wanawake ili wasahau na kukuona ni wewe tu, akasahau wengine. na zaidi sana akawa anahitaji kila wakati mnakumbushia yale mambo yetu?
naombeni lipi la msingi na kwa namna gani ili akutamani siku zote

Fanya kazi ya ndoa tu piga ile kitu kisawa sawa
 
Kwani nyinyi ni MALAIKA? Ku-bore ni muhimu once and while - ina tend ku-ignite mahusiano..Basi ni hilo tu
 
Kwani nyinyi ni MALAIKA? Ku-bore ni muhimu once and while - ina tend ku-ignite mahusiano..Basi ni hilo tu
Hapa ni suala la kuroga bila kwenda kwa bibi, Unajua kuna watu ambao kuna mambo yakifanyika basi hata kama vipi lakini ni yeye na wewe tu. na yale mambo yetu ndo kwanza utachoka mwenyewe. Otherwise kesho tu ushakuwa na mwingine, mara oooH fataki, mara ushaachana naye. sasa hayo si mazuri lazima wataalamu wanaojua watwambie nini tufanye???????
 
Kwani nyinyi ni MALAIKA? Ku-bore ni muhimu once and while - ina tend ku-ignite mahusiano..Basi ni hilo tu
Usije nambia pamoja na makonde kidogo, na wewe unatoka pale mtaani kwetu nini?
Nataka niache hayo bwana
 
+na yale niliyokwambia pia ongeza na MZIKI KITANDA... bt nt si kwa style ya bing bang km ya finest kwa mama big!!!!!!!
 
Hii naomba niicopy na kuiweka kwenye Note book yangu, na kama una nyongeza?
Nahisi harufu ya ukweli
1.mwambie akwambie nini anataka umfanyie ili asikie raha ,aman na ajiskie ni MWANAMKE APA DUNIAN

2.Mwambie akwambie anataka wewe uweje ili ajiskie yap ths iz ma men

3.mshirikishe kwenye plans zako ..i itamjengea sense of security n comfort kimapenz na threat nyngne za wanawake wa nje..atajiisi yupo pekeake

4.mwonyeshe km yeye tu ndo anakuown,yeye tu ndo mwenye hati miliki bin lesen juu yako

5.vijizawad ,care na concern nyingne apo mjomba lazima atajiona cleopatra ....KM SI KUNGURU BT KM NI KUNGURU ATA UKIMFANYIA AYO YOTE HATAONA ..atakuona mbwisi tu.

so b carful kwa yule unayemwonyesha mapenz..unaaweza ukamvesha shera nyeupe nguruwe wakat si staha yake ...staha ya nguruwe matope....banda lenye cement mbwembwe...!!!!!1
karibu tujirambe....chai miogo chachandu.....!!!!
 
+na yale niliyokwambia pia ongeza na MZIKI KITANDA... bt nt si kwa style ya bing bang km ya finest kwa mama big!!!!!!!
Japo nahitaji kuelewa zaidi lakini Hahisi haya nayo ni ya msingi, Hii bing bang hii inakaaje tena?:hippie:
 
Timiza wajibu kama mwanaume, uwe mtu wa kujifunza mambo ya ndoa nakadhalika, usisahau ubunifu mzee , ila angalia icje ikala kwako ukalemewa maana utakuwa wewe tu unatenda na hautendewi, ndoa is a contract of give and take, ukitoa unapokea (quid pro quo) mwambie naye achakalike asikuboe
 
Nitakwambia mimi niyapendayo so utajaribu kucheck kama yako relevant kwa huyo wako,

1.Napenda kuhakikishiwa kwamba mimi ni namba 1,2 3 yani zote hizo mimi. namba 4 na kuendelea wengineee sijui ndugu zako au rafiki utajua mwenyewe
2.Napenda kuheshimiwa, tunapotoka unitambulishe kwa rafiki zako kwa heshima na compliments nyingiiiiiii, napenda public affection, napenda watu wajue kama unanipenda usiogope kunishika mokono mbele ya watu
3.Mambo ya chumbani napenda unipe what I want the way I want,
4 Communication, napenda SMS zisizopungua 10 kwa siku, uniambie kila unachofanya, uniambie unafuraha au tatizo, uniulize nafanya nini kila mara kuongea kwenye simu sipendi sana I find SMS very romantic.
5. Ukiniudhi mbe msamaha, tena ikibidi ulie kujutia kuniudhi LOL!! teh teh mi mwenyewe nacheka hapa hahahaaaa ila kiukweli napenda sana nikiona mwanaume analiaaaaaaa
6.Napenda muda wa peke yetu sipendi usumbufu eti uko na mimi rafiki kapiga simu uniambie unakuja mara moja :nono: sipendi

Ngoja nimalizie kuna kashughuli nafanya ntarudi kuendelea 7 mpaka 12.
 
1.mwambie akwambie nini anataka umfanyie ili asikie raha ,aman na ajiskie ni MWANAMKE APA DUNIAN

2.Mwambie akwambie anataka wewe uweje ili ajiskie yap ths iz ma men

3.mshirikishe kwenye plans zako ..i itamjengea sense of security n comfort kimapenz na threat nyngne za wanawake wa nje..atajiisi yupo pekeake

4.mwonyeshe km yeye tu ndo anakuown,yeye tu ndo mwenye hati miliki bin lesen juu yako

5.vijizawad ,care na concern nyingne apo mjomba lazima atajiona cleopatra ....KM SI KUNGURU BT KM NI KUNGURU ATA UKIMFANYIA AYO YOTE HATAONA ..atakuona mbwisi tu.

so b carful kwa yule unayemwonyesha mapenz..unaaweza ukamvesha shera nyeupe nguruwe wakat si staha yake ...staha ya nguruwe matope....banda lenye cement mbwembwe...!!!!!1
karibu tujirambe....chai miogo chachandu.....!!!!


we waonyesha wayajua sana sasa inakuaje ni nataka uyafanye kwangu..
yan nipe...... nikupe ...niweke... niongeze makeke... nkimaliza ncheke
 
we waonyesha wayajua sana sasa inakuaje ni nataka uyafanye kwangu..
yan nipe...... nikupe ...niweke... niongeze makeke... nkimaliza ncheke

mabata madogo dogo yanaogeleeeeeeeea yanaogelea katika shamba zuri la bustan..............malizia
ushatoka shule?
mwalimu kasemaje?
 
we waonyesha wayajua sana sasa inakuaje ni nataka uyafanye kwangu..
yan nipe...... nikupe ...niweke... niongeze makeke... nkimaliza ncheke
utatake mi nkufanyie?
post kauliza mwanaume amfanyie vp demu wake
sa wewe unataka nkufanyie ....??vp kaka??
salama kweli?
ukitaka kufanyiwa utafanyiwa na wanaume ..tangaza nia watakuja.
 
mabata madogo dogo yanaogeleeeeeeeea yanaogelea katika shamba zuri la bustan..............malizia
ushatoka shule?
Mwalimu kasemaje?

hapana tunaimba ule wimbo wa "sasa sasa saa yakwenda kwe2 kweeri mwalim kwaeri tutaonana keshoo.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom