MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi hapa Dar, na mke wangu yupo serikalini ngazi ya chini kabisa ya mshahara.
Nilifanya kazi yenye mshahara mkubwa miaka miwili iliyopita mikoani na nikafanikiwa kujenga nyumba tunayoishi na familia Dar.
Miaka hii miwili nilikuwa nadunduliza tu ila nimepata dili tena kama la zamani mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa mkataba wa miaka 3. Sasa nimeoa kuhamisha familia ndiyo naumia, maana hapo inabidi aache kazi anifuate, na kazi ya huko ni ya muda tu.
Na akihama kule atakuwa hana kazi.
Wadau waliowahi kukaa mbali na familia inawezekana kila baada ya mwezi au miwili kuicheki tu kwa miaka hiyo mitatu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilifanya kazi yenye mshahara mkubwa miaka miwili iliyopita mikoani na nikafanikiwa kujenga nyumba tunayoishi na familia Dar.
Miaka hii miwili nilikuwa nadunduliza tu ila nimepata dili tena kama la zamani mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa mkataba wa miaka 3. Sasa nimeoa kuhamisha familia ndiyo naumia, maana hapo inabidi aache kazi anifuate, na kazi ya huko ni ya muda tu.
Na akihama kule atakuwa hana kazi.
Wadau waliowahi kukaa mbali na familia inawezekana kila baada ya mwezi au miwili kuicheki tu kwa miaka hiyo mitatu?
Sent using Jamii Forums mobile app