Nishaurini: Nisomee mining engineering, electrical engineering au cyber security ?

kwanza unahitaji kuikumbuka ndoto yako (kama ulikuwa nayo wakati unaanza shule) Kama bado imo kwenye ulicho achieve mpaka sasa angalia katika fani hizo tatu ipi inafiti the best with that dream. then follow that. ukija hapa jamvini watu watakuchagulia fani based on their dreams, achievements, failures, irresponsibilities zilizowafanya washindwe au some other aspect ambayo sio lazima iwe true with you. mtu atakwambia mining inachukua muda mrefu kusoma. jiulize kwa nini bado inafundishwa. au atakwambia kasome law kwa sababu yeye ni mbishi na kamuona somebody mmoja tu aliyefanikiwa katika law lakini labda sio kwa some orthodox means. yapo mambo mengi ya kutafakari lakini anza na wewe mwenyewe una nini mkononi, unataka kufika wapi. maisha hakuna kuchelewa na kila mmoja anauwezo wa kufika anapopataka akiweka juhudi ya kiakili, kirasilimali and physically panapotakiwa. tafuta ushauri wa kufaa lakini uupime kabla ya kuuchukua. but you first need to have a dream of your own.
Asante sana mkuu.

Nazingatia sana!!!
 
Nilikuwa naomba ushauri wenu
Mimi ni mwanafunzi nlieitimu kidato cha NNE mwaka 2017.

Pia nilikuwa nataka nkasome advance PCM alafu
Chuo nisome cyber security ,hila nasikia kunatatizo LA ajira katika course hiyo.

Kwahiyo nishaurini nichukue mining engineering, electrical engineering au cyber security ajira zipo nisome hiyo hiyo.

Na pia katika ushauri wenu naomba mnipe sababu kwanini unashauri ivyo

(Wataalam naombeni ushauri apo)
IT,Computer science,Telecom engineering,Electrical engineering,piga moja wapo ya hizo,utaishi kwa raha mtaani
 
Kijana CCC pcm au pcb sio masihala

Dogo kupata hizo CCC sio rahisi kama unavoziandika mdogo angu.. Anaepata hivo ni yule ambae kwake A'level imekuwa nyepesi.. Natamani ningekuona hata nkushauri face to face.. Una mawazo mepesi sana unaonekana mdogo angu.. Embu tafuta msomi mmoja akushauri huko ulipo
Acheni kumtishia dogo, CCC PCM ni ngumu? Mko serious kweli?
 
Soma kozi inaitwa electrical and electronic(BEEE) hapo utakuwa umeulaa dogo.option ya pili tafuta kozi inaitwa structural engineering udsm nafikiri wanayo.
 
Labda jwa upande, we nenda kasome tuu hiyo PCM then ushaur utaomba 2020 kwa sababu miaka inatofautiana inaweza koz fulani ikawa na soko mwaka huu lkn mwaka mwengin isiwe na soko so cha kufanya we kapambane na CHAND's the mwaka huo utakaomaliza ndo utaomba ushaur wa kozi gan ukasomee kulingana na kozi gqn inasoko kwa mwaka huo.
Natumain umenipata sana.
 
Nilikuwa naomba ushauri wenu
Mimi ni mwanafunzi nlieitimu kidato cha NNE mwaka 2017.

Pia nilikuwa nataka nkasome advance PCM alafu
Chuo nisome cyber security ,hila nasikia kunatatizo LA ajira katika course hiyo.

Kwahiyo nishaurini nichukue mining engineering, electrical engineering au cyber security ajira zipo nisome hiyo hiyo.

Na pia katika ushauri wenu naomba mnipe sababu kwanini unashauri ivyo

(Wataalam naombeni ushauri apo)
yaan ww dogo n mseng.e hata advance hujafika unawaza chuo.fck.
soma kwanza ufaulu vzr.
 
Sawa mkuu .Hila napenda kujipanga mapema kwa mfano PCM advance Nina 1.9 yani CCC .(tuchukulie ivyo )
Kuhusu changamoto advance naelewa.

Lengo langu ni kujua apo coz gani ni nzuri zaidi na kwanini nisaidie apo mkuu.

Nisaidie apo mkuu
unapataje ccc wacha ukilaz.a mzee....udsm huwez kwenda nenda teku ndo size yako.
 
Advanced hamna vigezo kujipanga kiuchaguzi, ngoma ni flat rate kila nyanga.... Unataka kujipangaje? Don't complicate life.
 
kwanza unahitaji kuikumbuka ndoto yako (kama ulikuwa nayo wakati unaanza shule) Kama bado imo kwenye ulicho achieve mpaka sasa angalia katika fani hizo tatu ipi inafiti the best with that dream. then follow that. ukija hapa jamvini watu watakuchagulia fani based on their dreams, achievements, failures, irresponsibilities zilizowafanya washindwe au some other aspect ambayo sio lazima iwe true with you. mtu atakwambia mining inachukua muda mrefu kusoma. jiulize kwa nini bado inafundishwa. au atakwambia kasome law kwa sababu yeye ni mbishi na kamuona somebody mmoja tu aliyefanikiwa katika law lakini labda sio kwa some orthodox means. yapo mambo mengi ya kutafakari lakini anza na wewe mwenyewe una nini mkononi, unataka kufika wapi. maisha hakuna kuchelewa na kila mmoja anauwezo wa kufika anapopataka akiweka juhudi ya kiakili, kirasilimali and physically panapotakiwa. tafuta ushauri wa kufaa lakini uupime kabla ya kuuchukua. but you first need to have a dream of your own.
Hii imetulia Sana azingatie
 
Back
Top Bottom