Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 730
Dah sheria za kwetu jamaa inabidi apigwe na ufagio hadi kufa😠😠na kila akiondoka anakua na mwanaume wanaishi hii ya mwisho mwanaume aliyekua naye walivishana pete lakini msela alikua anampiga sana mpaka ananikumbuka maana sijawahi mgusa hata kwa bahati mbaya haya nimeyajua baada ya yeye mwenyewe kuniambia maana anataka turudiane nami sitaki japo nampenda bado
we ni mwehu nenda hospital kwanza afu una miaka 33 sio vzuri kua mjinga ujue ..