Panda2
Member
- Jul 4, 2016
- 7
- 2
Nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nikapata div3 ya 24, sinafanikiwa kuchaguliwa form5 na nimebaki njia panda juu ya hatima yangu. Nataka nirudie masomo niliyopata D na F mwakani kwani nina uwezo wa kufanya vizuri lakini tatizo nalazimishwa niende Veta. Je kupi bora??