Nishaurini kati ya ECA na EGM

May 26, 2013
67
14
Wana jf naombeni mnishauri kuhus iz comb mbil ni ip haswa ina market uko mbele.me nimemliza 4m4 mwaka jana 2012 na nmefauru vzur ila xa kuchagua comb ndo kumenichanganya kat ya EGM na ECA celew ip ni baab kubwa na kwasababu na sifa za kuweza kuchukua komb yeyote naomben mnishaur ip ni komb nzur zaid na ina market zaid uko mbele
 
kijana ECA MPANGO MZMA,UTAELEWA MAMBO MENGI KUHUSU ULIMWENGU WA BIASHARA.LAKN WE CHUO UNGEPENDA UXOME MAMBO GAN ILI NIKUSHAUR VZUR!?
 
ya EGM KWENYE KUCHAGUA VYUO UTAKUWA NA WIGO MPANA,NDO MAANA NAMWAMBIA ASEME CHUO ANAPENDA ASOME VITU GAN?
 
nan kakwambia archtechture&Quantity surveyor hazina dili!! juxt ushaur 2 jembee! pamojaaaa!
 
Unapotaka kuomba ushaur/msahada yakupasa uwe na busara na heshima pia.Tabia ya kuandika maneno kiuni inabid iishie hukohuko kwa watoto wenzako tumia lugha fasaha eg sasa na sio xaxa n.k,Kasome EGM o'level sio sawa na a'level hata kidogo Haitak utoz so take care
 
nan kakwambia archtechture&Quantity surveyor hazina dili!! juxt ushaur 2 jembee! pamojaaaa!

Kifupi fani yoyote ni deal kama utaamua kupambana na changamoto zilizopo katika hiyo fani ikiwa sambamba na kuji-upgrade wakati unatekeleza majukumu yako, unajua mdau wengi wanachagua fani kwa kuangalia mafanikio ya watu flani waliotangulia kutokana na fani walizosoma bila kuangalia njia walizopita
 
Kifupi fani yoyote ni deal kama utaamua kupambana na changamoto zilizopo katika hiyo fani ikiwa sambamba na kuji-upgrade wakati unatekeleza majukumu yako, unajua mdau wengi wanachagua fani kwa kuangalia mafanikio ya watu flani waliotangulia kutokana na fani walizosoma bila kuangalia njia walizopita

pamojaaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom