Gwakisa George
Member
- May 26, 2013
- 67
- 14
Wana jf naombeni mnishauri kuhus iz comb mbil ni ip haswa ina market uko mbele.me nimemliza 4m4 mwaka jana 2012 na nmefauru vzur ila xa kuchagua comb ndo kumenichanganya kat ya EGM na ECA celew ip ni baab kubwa na kwasababu na sifa za kuweza kuchukua komb yeyote naomben mnishaur ip ni komb nzur zaid na ina market zaid uko mbele