Mama,
Hizi zako ni dalili za ulimbukeni kama utaogopa kurudi kwenu eti kwa sababu kuna hali duni ya maisha, uchawi na mengine nadhani nina wasi wasi na uwezo wako wa kufikiri.. Huko unakong'ang'ania kukaa ukiamini ndio kuna mambo matamu ni kwamba wenye nchi walikaza buti wakaweka hayo mambo mazuri. Lazima walikumbana na hali ngumu kufika hapo walipo sasa nyie mnaotaka sisi tuwashauri kwa nini mrudi Tz eti mnaogopa ufisadi ni wafinyu wa busara na mitazamo pamoja na ma-degree yenu.
Mnapenda vitu ready made??? Kutoka jasho hamtaki kwani nyoka akiingia ndani ya nyumba yako unafanyaje?? Unahama nyumba kwenda kwa jirani???? au unamtafuta mpaka umtoe??? vijana ndio matatizo ya kukariri mambo.. Rudini tupambane hapa hapa kwetu hata kama nyie hamtafaidi vizazi vyenu vitanufaika tu hata huko mliko hayo mambo mazuri mnayoona waliweka watu siku nyingi sana si ajabu hata hicho kizazi kilipita....Mmeniboa sana!!!
Hizi zako ni dalili za ulimbukeni kama utaogopa kurudi kwenu eti kwa sababu kuna hali duni ya maisha, uchawi na mengine nadhani nina wasi wasi na uwezo wako wa kufikiri.. Huko unakong'ang'ania kukaa ukiamini ndio kuna mambo matamu ni kwamba wenye nchi walikaza buti wakaweka hayo mambo mazuri. Lazima walikumbana na hali ngumu kufika hapo walipo sasa nyie mnaotaka sisi tuwashauri kwa nini mrudi Tz eti mnaogopa ufisadi ni wafinyu wa busara na mitazamo pamoja na ma-degree yenu.
Mnapenda vitu ready made??? Kutoka jasho hamtaki kwani nyoka akiingia ndani ya nyumba yako unafanyaje?? Unahama nyumba kwenda kwa jirani???? au unamtafuta mpaka umtoe??? vijana ndio matatizo ya kukariri mambo.. Rudini tupambane hapa hapa kwetu hata kama nyie hamtafaidi vizazi vyenu vitanufaika tu hata huko mliko hayo mambo mazuri mnayoona waliweka watu siku nyingi sana si ajabu hata hicho kizazi kilipita....Mmeniboa sana!!!