lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,732
Za asubuhi jamani..
Leo nimejikuta katika mawazo sana lipi la kuamua. Kuna pesa natarajia kuipata very soon... Sasa nawaza kufanya biashara ila nimeshidwa kuamua nimeona nipate mawazo kwanza kwa wadau..
Barbershop..
Nawaza kama ni barbershop nifungue yenye hadhi nzuri na ikibidi nichanganye na saloon ya like na maeneo nilipo Niko mwanza ila nafikilia kuweka mle mwanza moral. Yaani niifanye iwe inaweza kuingiliwa na watu wa hadhi zote.
Nyama Choma
Lakini pia kuna wazo linakuja kwa kasi la kuhusu kufungua nyama choma yenye vinywaji baridi kwani imani yangu hairuhusu pombe...
Kati ya biashara hizo tafadhali mnisaidie mawazo.
Leo nimejikuta katika mawazo sana lipi la kuamua. Kuna pesa natarajia kuipata very soon... Sasa nawaza kufanya biashara ila nimeshidwa kuamua nimeona nipate mawazo kwanza kwa wadau..
Barbershop..
Nawaza kama ni barbershop nifungue yenye hadhi nzuri na ikibidi nichanganye na saloon ya like na maeneo nilipo Niko mwanza ila nafikilia kuweka mle mwanza moral. Yaani niifanye iwe inaweza kuingiliwa na watu wa hadhi zote.
Nyama Choma
Lakini pia kuna wazo linakuja kwa kasi la kuhusu kufungua nyama choma yenye vinywaji baridi kwani imani yangu hairuhusu pombe...
Kati ya biashara hizo tafadhali mnisaidie mawazo.