kipindi cha awamu ya pili kinalaumiwa kwa mambo mengi lakini je mambo yote yalitokea ndani ya miaka michache tuu? je haiwezekani kuwa walirithi matatizo? je, nyerere alistaafu kwa kuwa alichoka kutawala ?alikataa kugeuka jiwe? au kwa kuwa alishasoma alama za nyakati kuwa hali ya nchi haikuwa tena nzuri kwake?
vipi kuanzishwa kwa uchangiaji wa gharama za matibabu na huduma za afya kuanzia 1993, jee, ilitokana na ubovu wa sera za awamu ya pili au baada ya serikali kushindwa kumudu gharama kubwa za uendeshaji wa sekta ya afya? je mnaamini huo pia ulikuwa ni uamuzi mbovu wa serikali ya awamu ya pili
hivi nyerere angeendelea kutawala mpaka 1990, mapinduzi yasingetokea nchi hii?maana hata yeye kipindi chake cha mwisho alifail vibaya
vipi kuanzishwa kwa uchangiaji wa gharama za matibabu na huduma za afya kuanzia 1993, jee, ilitokana na ubovu wa sera za awamu ya pili au baada ya serikali kushindwa kumudu gharama kubwa za uendeshaji wa sekta ya afya? je mnaamini huo pia ulikuwa ni uamuzi mbovu wa serikali ya awamu ya pili
hivi nyerere angeendelea kutawala mpaka 1990, mapinduzi yasingetokea nchi hii?maana hata yeye kipindi chake cha mwisho alifail vibaya