Gamariel
Member
- Sep 8, 2009
- 82
- 6
Ndugu wana JF naomba mnisaidie kwa ushauri wa kujua cost effective method ya nishati mbadala
kama ni kutumia generator je ipi itaweza kutoshea umeme wa nyumba ya kuishi yenye tv,ac,friji, taa, nk
kama ni solar power hali kadhalika.
any other altenative source.
umeme wa tanesco hausomeki
mawazo yenu tafadhali
kama ni kutumia generator je ipi itaweza kutoshea umeme wa nyumba ya kuishi yenye tv,ac,friji, taa, nk
kama ni solar power hali kadhalika.
any other altenative source.
umeme wa tanesco hausomeki
mawazo yenu tafadhali