Kwa nini umebaki mdomo wazi mkuuNimeona hii document mahali nikabaki mdomo wazi!Hivi sasa naona inasambaa tu mitandaoni.
Nahisi kama alijua kuwa kuna issue ambayo magufuli hajuiDu, si vibaya,japo mzee watu Mapunda,baada ya kupewa mic. ." salam,salam" hakuongea lolote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo ni nyumba ya sanaa!
Ninachojua katika kazi ya urubani, huwa kuna marubani wawili.
Urais ni taasisi, kama kweli kuna huo mkanganyiko basi kwenye taasisi kutakuwa na shida mahaliIna maana magu alikurupuka au?