Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Msanii wa bongo movie Nisha ameendelea kufunguka kuhusu mwanaume aliyembaka, akidai alikuwa ni mwanaume mzigo sana ambaye alikuwa hawezi kufanya majukumu yake ipasavyo na ndipo akamuacha.
Anadai pia aliitwa na marafiki zake na kuelekezwa kwa huyo ex wake kisha kwenye kumbembeleza warudiane ndipo alipombaka na mimba kuingia.
Anadai pia aliitwa na marafiki zake na kuelekezwa kwa huyo ex wake kisha kwenye kumbembeleza warudiane ndipo alipombaka na mimba kuingia.