Nisha: Aliyenibaka hawezi hata kununua sabuni ya kujifulia boxer

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Msanii wa bongo movie Nisha ameendelea kufunguka kuhusu mwanaume aliyembaka, akidai alikuwa ni mwanaume mzigo sana ambaye alikuwa hawezi kufanya majukumu yake ipasavyo na ndipo akamuacha.

Anadai pia aliitwa na marafiki zake na kuelekezwa kwa huyo ex wake kisha kwenye kumbembeleza warudiane ndipo alipombaka na mimba kuingia.

 
Kama alimbaka aliripoti polisi?.Alichukua hatua gani?.Au ni changamoto za mimba chsnga zinamfanya aropoke kila kitu?.Kama ex wake hawezi fua boxer yake ndo ameliona suala hilo leo wakati alifurahia kimimininka kizito cheupe mithili ya maziwa na cha moto kama.......kimezama kunako mapokezi?.
 
Bongo movie ni maigizo kila kitu mbona hakuwah sema mwanzo kama alibakwaa
 
huyu alimwagwa baada ya hapo akaona aanze mashauzi alibakwa kipindi wanagegedana hakuyasema hayo
 
Kama alimbaka aliripoti polisi?.Alichukua hatua gani?.Au ni changamoto za mimba chsnga zinamfanya aropoke kila kitu?.Kama ex wake hawezi fua boxer yake ndo ameliona suala hilo leo wakati alifurahia kimimininka kizito cheupe mithili ya maziwa na cha moto kama.......kimezama kunako mapokezi?.
Akakipokea hicho kimiminika, naye akakitoa cha kwake vikaungana, akafurahia hilo tendo, inakuaje aseme amebakwa
 
Huyu nae mama huruma tu analeta story za kubakwa wakti yeye ndio kauza mechi,umri huo unadai umebakwa huna sauti ya kupiga kelele au yeye ni bubu.bongo movie kila kitu wao ni maigizo 2
 
Huyu nae ajikaliage tu kimya.
Hivi hawa wasanii hawawezi kufanya mambo yao bila kuropoka kwenye media.
Anatuchosha sasa tumsaidiaje kulea au?mana kututangazia aliyempa mimba hana uwezo wa kununua sabuni anataka apate wa kumsaidia kulea.
Apambane na hali yake usawa wenyewe huu
 
Huyu nae mama huruma tu analeta story za kubakwa wakti yeye ndio kauza mechi,umri huo unadai umebakwa huna sauti ya kupiga kelele au yeye ni bubu.bongo movie kila kitu wao ni maigizo 2
Labda alisubiri dushe liingie ili awe na ushahidi kuwa alibakwa
 
Kama alimbaka aliripoti polisi?.Alichukua hatua gani?.Au ni changamoto za mimba chsnga zinamfanya aropoke kila kitu?.Kama ex wake hawezi fua boxer yake ndo ameliona suala hilo leo wakati alifurahia kimimininka kizito cheupe mithili ya maziwa na cha moto kama.......kimezama kunako mapokezi?.
Ume describe vzr "sperm"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom