Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,120
- 15,625
Nikifikiri uzee umeshaniingia mambo yananipita. Hata mimi sijaona hizo message. Kwanza nilivyo mvivu wa kuview statusMe pia
Nikifikiri uzee umeshaniingia mambo yananipita. Hata mimi sijaona hizo message. Kwanza nilivyo mvivu wa kuview statusMe pia
nitumie chemba niisaveSawa na wewe save yangu.
Na wewe ni mjinga kama Dr Bashiru? Kwamba huelewi umuhimu wa WhatsApp?Wengne hata WhatsApp tumefuta kbs , Yani wanakera Sana ahaha japo kila mtu mambo yake ila dah huwa haiji akilini kbs Mimi
Dah wewe una shida mkuu Yani status za mtu zikuumize na u judge mtu negative something fish ooohOf course inakela Sana,juzi Kuna mdada kaniibukia na swaga Kama hizi ,sikumjibu chochote Ila niliishia kumblock tu.
Kitu kingine kinachonisikitisha Ni pale unapomuona mtu mzima na unaamini Yuko siriazi na maisha lakini kutwa kupandisha status za WhatsApp utadhani Kuna malipo.
Kuna jamaa fulani nafanya naye kazi siku za karibuni amekuwa siriazi Sana kila baada ya dakika tatu anaweka status ,nimeamua kum-Mute maana naona Kama Ni upuuzi Flani kwa mwanamme kukaa unaweka status za kilofa kila dakika.
Wanaume tuwe siriazi na maisha mambo ya status tuwaachie wanawake.
Sijawahi kutana na huu ujinga wallah. Na niko magroup ya family, na church basi na huko no chatting za hovyo
, Furusa.Namba anachukua Kwenye group wanaingia kwenye group member wanatumia tu.
Kwa mfano ona wanavyo sumbua
View attachment 1958815
Na ya michangoSijawahi kutana na huu ujinga wallah. Na niko magroup ya family, na church basi na huko no chatting za hovyo