komoakomesha
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 285
- 397
- Thread starter
- #41
Filbert bayMbio zangu hapo aisee Paka mwizi anasubiri..sipendi sna mizinga
Filbert bayMbio zangu hapo aisee Paka mwizi anasubiri..sipendi sna mizinga
EtiiiPeleka kwny Uzi wa riki boy
Kwenda huko
Ndo hivoAiseee!!!
We na huyo Maza wote ni wahuni Tu wa mjini 🤣Hii ishawah ntokea,maza akanielewa knoma.
Siku ya kwanza katest kama Nina pesa,bahat nzur sku hyo nilikuwa nazo,nkatoa burungutu la elfu mbili mbili nyingi Mpya nkachomoa kutoka kwenye kile kkaratas chake sio rubber band.
Nikampa 30,000 bila kupepesa macho.Zingine nkarudsha mfukon
Basi siku nyingne nikawa napewa kipochi manyoya bure,tena kwa show show.
Kumbe yule maza ananivutia muda ikifika Christmas, anichomoe pesa ya maana.
Bahati mbaya hiyo 23/12/2014 sikuwa na kitu,ikabidi nipotee mazima,maza alinitafuta bila mafanikio
Kutaja kabila inasaidia waume kuchuja kuwa mhusika sio mkewe. Mtu anapohadithia kisa cha kumla mke wa mtu, baadhi ya wanaume huwa wanaanalyse kama huyo mtu anaweza kuwa mkewe. Fikiria wake za watu wangapi wanachakarika jatika biashara.Kwani kulikuwa na haja gani kutaja kabila lake bila kutaja lako?
hakuna haja ya bando mkuu mimi hii thread nimeipata nikiwa sina hata mb 1 kwa simu ni free basics tuJeiefu bando lako tu mkuu hata la jero....
Mwambie huyohakuna haja ya bando mkuu mimi hii thread nimeipata nikiwa sina hata mb 1 kwa simu ni free basics tu
KivipTanzania kuna ujinga mwingi sana
Alafu anaomba pesa ndefuumwanamke ukishalala naye tu lazima ataleta shida ya hela,mie hapa nina lundo la wanawake najua tu nikiwaomba mzigo nitapata shida ya mabomu ya nyuklia,nimeona wawe marafiki zangu tu
Wake za watu wanaliwa aisee mjini hapa we acha ,ukute anadaiwa mkopo ambao mumewe hajui ,atalika kila mtaaKutaja kabila inasaidia waume kuchuja kuwa mhusika sio mkewe. Mtu anapohadithia kisa cha kumla mke wa mtu, baadhi ya wanaume huwa wanaanalyse kama huyo mtu anaweza kuwa mkewe. Fikiria wake za watu wangapi wanachakarika jatika biashara.
SawaAchana na wake za watu
Ohooo nawe yamekukutaHii ishawah ntokea,maza akanielewa knoma.
Siku ya kwanza katest kama Nina pesa,bahat nzur sku hyo nilikuwa nazo,nkatoa burungutu la elfu mbili mbili nyingi Mpya nkachomoa kutoka kwenye kile kkaratas chake sio rubber band.
Nikampa 30,000 bila kupepesa macho.Zingine nkarudsha mfukon
Basi siku nyingne nikawa napewa kipochi manyoya bure,tena kwa show show.
Kumbe yule maza ananivutia muda ikifika Christmas, anichomoe pesa ya maana.
Bahati mbaya hiyo 23/12/2014 sikuwa na kitu,ikabidi nipotee mazima,maza alinitafuta bila mafanikio