Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,037
- 16,031
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatoka mbali, lakini tunayasahau hayo pale tunapovuna!
Mh unyanyasaji kabisa huu yaani mwalimu anamcharaza fimbo bila ata idadi
Sipendi kumuona mtoto analia au kusikia sauti ya kulia...they r like angels wanatia huruma kwa kqeli
ha haa, huyo wa gauni la kijani ndo mimi....
Unyanyasaji
halafu kanaonekana ni katundu sana hako katoto, katizame macho yake.
Unyanyasaji
Mwangalie kwa makini huyo mtoto anayechapwa, inaonyesha wazi kabisa hizo fimbo hazisaidii kumrekebisha bali zinamuongezea hasira, ujeuri, kiburi na roho mbaya. Tafakari chukuwa hatua