Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
NI AIBU KWA CHAMA KUPOKEA WATUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA NADHAN TUNAVUNA TULICHOPANDA
Nilishawah kutoa angalizo kwa chama changu juu ya ujio Wa huyu Wema Sepetu kuwa huyu ni galasa ambaye anakuja kutuchafulia chama chetu kwa kuwa huyu aliondoka ccm kwa kuwa alituhumiwa kujihusisha na utumiaji Wa dawa za kulevya.
Nadhan hata ile kashfa ya fly to KIA aliitengeneza yeye kwa lengo LA kuichafua CHADEMA na Mwenyekiti wetu.
Leo naweza kukubaliana na mh makonda kuwa huyu wema inawezekana zile tuhuma za utumiaj Wa madawa ya kulevya hakukurupuka Bali vyanzo vyake vya taarifa vilikuwa vya uhakika kabisa pasipo na shaka yeyote.
Nenda salama mama ila kwa hili CHADEMA WAJIFUNZE kutowapa AIRTIME sana kwenye media hawa wanaoondoka ccm na kuja CHADEMA kwa kuwa hawajua Sera za chama Bali huja baada ya maslah yao kuguswa.
Hakika TUNAVUNA TULICHOPANDA MIEZ KADHAA ILIYOPITA.
MUNGU IBARIKI CHADEMA
Nilishawah kutoa angalizo kwa chama changu juu ya ujio Wa huyu Wema Sepetu kuwa huyu ni galasa ambaye anakuja kutuchafulia chama chetu kwa kuwa huyu aliondoka ccm kwa kuwa alituhumiwa kujihusisha na utumiaji Wa dawa za kulevya.
Nadhan hata ile kashfa ya fly to KIA aliitengeneza yeye kwa lengo LA kuichafua CHADEMA na Mwenyekiti wetu.
Leo naweza kukubaliana na mh makonda kuwa huyu wema inawezekana zile tuhuma za utumiaj Wa madawa ya kulevya hakukurupuka Bali vyanzo vyake vya taarifa vilikuwa vya uhakika kabisa pasipo na shaka yeyote.
Nenda salama mama ila kwa hili CHADEMA WAJIFUNZE kutowapa AIRTIME sana kwenye media hawa wanaoondoka ccm na kuja CHADEMA kwa kuwa hawajua Sera za chama Bali huja baada ya maslah yao kuguswa.
Hakika TUNAVUNA TULICHOPANDA MIEZ KADHAA ILIYOPITA.
MUNGU IBARIKI CHADEMA