hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Hawa jamaa huwa wanajitoa ufahamuHuwa napata shida sana kufanya mijadala na watu ambao hawapendi/hawawezi kujibu hoja moja kwa moja. Hebu mkuu, eleza biblia inaposema Mungu aliufanya moyo wa farao uwe mgumu inamaanisha nini?