Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,998
- 39,794
Ni wazuri kisura na kimaumbile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipe namba yake nimweke ndani kwakuwa wewe bado mtoto....watu cku hizi hawaoi kabila bali tabia.kama humpend tupe namba zake halafu wewe uendelee kupekua makabila yote nchini.boya wewe!!
Ni chama gani cha Siasa?Nimepata demu wa kinyaturu na Mimi
ChaummaNi chama gani cha Siasa?
Chukua sifa za Tundu LisuJamani,naombeni sifa za wanyaturu.Nimekuwa na rafiki yangu wa kinyaturu imefikia hatua ya kuniambia nimuoe,sasa nataka nijue sifa za wanyaturu abla sijamkubalia.Nisaidieni wadau
Nilikutana na mmoja kisha tukapoteana, sijui kama yupo hai. Nimemkumbuka sanaNilitongoza mmoja alinikubalia ndani ya dakika tu nikamgonga
Tatizo kubwa wengi sio waaminifu
Hahahahahaha!! Kilichonitokea miezi kadhaa baada ya hii post dah!!my fiance ni mnyaturu! Huyu mtoto katulia mpaka mimi naogopa kuwa its a bit too much! Binti gani hana tamanio, haniombi hela, hana mda na simu yangu, hajawahi pandisha hasira yani she is too calm and collected. Anajiamini mno bila hata kujitutumua chembe moja ni mnyenyekevu sana.
Na ni mzuri kwangu aliyepitiliza sababu hata nikiiba mechi za nje i hav to imagine her ili ni enjoy.
Mkuu funguka zaidi nni kilitokea maana nina partner mnyaturu pia.Hahahahahaha!! Kilichonitokea miezi kadhaa baada ya hii post dah!!
Nimecheka sana kuiona miaka 7 baadae!!
Hahaha JF bhana!!
Ila kwa kifupi hizo mbegu ACHANA NAZO KABISA!! Especially kama wewe sio kabila moja nao.
Full stop!
Nae ameanza maigizo ya kina Lema ya kukimbilia Kenya kujificha na familia yake?Chukua sifa za Tundu Lisu