Mchomamoto
Senior Member
- Aug 19, 2011
- 169
- 36
Wana JF wenzangu, mwenzenu nina mchumba na ndie ninae tarajia kufunga nae ndoa, tunakutana muda tuutakao na kupeana mambo yote ya kimahaba na tunapendana sana. Tatizo langu ni kuwa NAPATA NDOTO ZA USIKU KUWA NAFANYA MAPENZI na hufikia kupiga bao nikiwa ndotoni yaani hasa nisipokuwa nae,na sio kwamba nakuwa na mawazo sana juu yake hapana maana hata wakati mwingine nachoka na shughuli zangu za kutwa lakini inatokea napiga bao. Naomba mnisaidie je ni tatizo la kiafya au ni nn hasa tatizo?