trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 735
Nimekuwa nikitumia laptop na modem,ambapo nikiweka sh 2500/- nasurf mwezi mzima. Kwenye simu najikuta nimejiunga moja kwa moja,hivyo vocha yangu iwe ya line yoyote nakatwa kulingana kB na mB zinazofunguka. Nifanyeje?