Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,116
- 7,425
Unatumia Facebook
Skype
Snapchat
??
Skype
Snapchat
??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naweza kwa sababu siku nimekuwa bored namchokoza tunabishana.Hivii mnawezaje??
Mbona Mimi nahisi kudata mapema jamani.! 😂
Kweli he is real an expert, Mimi kuna siku huwa naamka sijiskii hata kujibu msg tu za wadau, sasa hiyo mood ya kubishana tu nitatoa wapi?Mimi naweza kwa sababu siku nimekuwa bored namchokoza tunabishana.
Kitu kizuri kuhusu yeye ni kwamba hana kitu kinachoitwa "mood" ya kubishana. Muda wowote ukijisikia kubishana nae unamkuta kajiandaa.
Kumbuka aliyemuomba kamwambia hamna tena siri apoSiku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah
Utanikuta sege dansi hapa getini na unyapara wangu jiandaee kukaza kiume vingnevyo utaliwa kibogaSiku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah
Mkeo ndo kampatia namba yako ili aijaribu imani yako.Siku ya juma 3 kuna missed call iliingia kwenye simu yangu majira ya sa 3 asubuhi
Nikaituma sms akajibu ni mimi mwanafunzi nilikua nataka kujua kama upo hai Corona umesalimika. Swali la kwanza namba yangu umeitoa wapi akajibu kwani ni vibaya kua na namba yako.
Niliokota ofisini iliandikwa kwenye karatasi nikaichukua, sikuamuamini kesho yake kanitafuta tena nikambana aseme akajibu vile, binafsi sina kabisa mazoea na wanafunzi nikiwa shuleni, aliko mtandao unasumbua. Leo kasijili halotel na kanitumia sms mchana nilijua hata tuma.
Swali hadi sasa hivi najiuliza huyu mwanafunzi wa form 3 namba yangu kaitoa wapi? Sijawai andika namba yangu kokote pale ofisini. Kaacha najiuliza hadi Leo huyu mtoto namba kaitoa wapi, nimeona niliete kwenu najua kuna wazazi humu pia. Au mme shawano experience hali hii, nisipojibu sms mara ooh au mkeo kakukataza kujibu sms? Dah
Watu wana number hadi ya Trump na Malkia Elizabeth ndio watashindwa kupata namba ya Teacher wa NYAMISATI au KAZULAMIMBA?Mbona unashangaa huyo mwanafunzi kuwa na namba yako?...do you think you are that smart?,no,you are not kama undishi wenyewe ni wa mme badala ya mume,adi badala ya hadi,kua....
Form three uzi anautoa wapi?Zali la mentali hilo, kang'oe uzi mapema
Mimi napenda kuandika "Walai",Sio "Walaqhi" sahihi ni "Wallahi". Hiki ni kiapo.
Mara ya kwanza nilihisi ni kosa la kiandishi.
Ahsante.