Nisaidieni, upendo unapungua kwa mume wangu

Nashukuru dear kwa ushauri ingawa ni mama kijacho ,yaani kazini walikataa kunilipia masomo ya master ,ada ilikuwa milioni kama milioni kumi na tano hivi pamoja na research nililipa kama milioni 13,000,000 hivi sasa ikabaki milioni 3 nikamwomba akakataa kunipa ikabidi nikamkopa coz bank nilikuwa najua ana sh.ngapi akanipa baada ya miezi 3 alikuwa ananidai mpaka nikitoka kazini nakosa raha ya kurudi Nyumbani ,ikabidi niingie bank nikope nimrudishie ndo tukawa na amani but roho inaniuma coz kaenda kuweka bank,
Duh huyu mwanaume anahitaji maombi Tena Yale maombi ya prayer marathon kwakweli
 
No kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,
Mmhh pole jamani
 
Amina dear ,huwa nafanya maombi hata kila ijumaa tuna maombi kanisani mara chache sana kukosa labda niwe nimetingwa kazini
Mamiii unajua huduma ya anointed room??? Em ngoja nikushirikishe hili.... Hakuna linalomshinda Mungu.... Ingia insta au fb search anointed room au nenda u tube search uone masomo yao naamini yatakujenga... Na Kama utaweza jiunge na prayer marathon ukienda hizo pages nilizokuelekeza utapata maelekezo..... Kama hujaelewa Ni pm ntakuelewesha zaidi.... Sio kitu Cha kulipia hela kwamba utatapeliwa noo dear ingie huko then thank me latet
 
No kipindi tupo uchumba hakuwa anaonyesha hizo tabia,tulipofunga ndoa baada ya miezi kadhaa ndo nikawa nashangaa baadhi ya tabia ,mfano anaweza kufunga samaki mzima sato kama kulikuwa na kifunction kazini ,but akija nampashia kwa oven anakula pekee yake anamaliza namwangalia ,

Hakupendi Wala hana huruma na wewe.Unaishi kwenye Moto mkali.
Usimfatefate,ishi kivyako jipende wewe na mwanao akijigutukia anaweza kujirudi ila ni kazi Sana
 
Angalia kuna uwezekano amekosa imani na wewe labda ulimsaliti au kuna viashiria vya usaliti au labda wewe ni kiburi ama ulionesha dharau na kutomuheshimu. Kama kipo kimojawapo wanaume tunapoteza upendo kwa mwanamke
 
Mtu hawezi kukupa kitu ambacho yeye Hana.

Huyu anaogopa kupenda hivyo anaishi kwa machalee na hofu.Kitu pekee atakachokupa Ni machale na hofu maana ndo anavyo moyoni.There is hope,love heals Everything,can you love him deeply?

Kuhusu kusomesha na msapoti lakini
Wewe Ni mpuuzi......
kwenye swala la kus0mesha una msapoti??? So wewe hautamsomesha mkeo hata Kama unauwezo huo??? Kesho ukifa kibudu SI watoto wako ndo watakao teseka yaan utafanya Tena mkeo afanye kazi za shurba ili wanao wale na wasome akati ungemsomesha Ni kwa manufaa ya familia yako kwa baadae???

How selfish khaaaah
 
Kipindi nimefunga ndoa siku hiyo usiku ,alinambia nimekuoa but wasichana was nje siwezi waacha ,but kipindi cha a mwanzo nimepata Shida sana ,nikawaona wasimamuzi wangu wa ndoa wakamshauri akapunguza but nilimshakamata kalala na binti wa kazi ndani,nikamwambia naomba tuachane hapo mtoto akiwa na miaka 3 ,akanibembembeleza sana,akaomba msamaha yakaisha,but kuna kipindi akawa anatongoza mabinti ,nikasema sasa inabidi tuachane ,akalia sana akasema umeona coz wazazi wangu wamefariki ndo unataka kuniacha sawa,huruma ikaniingia tukayamaliza ,kwa sasa naona ametulia hata Kanisani anahudhuria vizuri tu
Eeeeh Mungu Hawa wanaume wana Nini jamaniii uwiiii......

Yaan badala aface the consequences anasema kwa ajili wazazi wangu wamefariki??? Jamaniii pole maaa .... Lia na Mungu tuu mamaa ipo siku yako atakukumbuka
 
mumeo ni mmoja wa wale wanaume selfish,uamuzi ni wako kukaa nae au kuachana nae.....mie nakushauri uachane nae bado mapema ukiamua kubaki ujue unatoa sadaka furaha yako...na utabaki miserable for the rest of your life........................

Kuhusu wazazi,nahisi hakupata muda mzuri wa kukubali wamekufa(grieving period)...saa zote ana feel guilty and puzzled kuhusu kifo chao...au anaona wamekufa mapema kabla hajawahudumia kama zawadi ya kumlea......


kwa kifupi ameyabeba mengi kifuani,ndio maana ukimuudhi kidogo ana snap,dada huyo ni bomu...ondoka kabla hujazaa mtoto wa pili na watatu halafu ushindwe ku move on.
Ushauri movu sana..kwanini wanawake hamtaki ndoa za wenzenu zidumu? nilitarajia majibu hapa yawe namna ya kumbadili mumewe tofauti na option ya kuachana..!

Dada Mpe mumeo Vizuri ile kitu.. Mchanganye Kitandani!.. wanaume hapo tunakuwaga hatuna Ujanja!
 
Wewe Ni mpuuzi......
kwenye swala la kus0mesha una msapoti??? So wewe hautamsomesha mkeo hata Kama unauwezo huo??? Kesho ukifa kibudu SI watoto wako ndo watakao teseka yaan utafanya Tena mkeo afanye kazi za shurba ili wanao wale na wasome akati ungemsomesha Ni kwa manufaa ya familia yako kwa baadae???

How selfish khaaaah
Asome akawe nani?
 
Kipindi nimefunga ndoa siku hiyo usiku ,alinambia nimekuoa but wasichana was nje siwezi waacha ,but kipindi cha a mwanzo nimepata Shida sana ,nikawaona wasimamuzi wangu wa ndoa wakamshauri akapunguza but nilimshakamata kalala na binti wa kazi ndani,nikamwambia naomba tuachane hapo mtoto akiwa na miaka 3 ,akanibembembeleza sana,akaomba msamaha yakaisha,but kuna kipindi akawa anatongoza mabinti ,nikasema sasa inabidi tuachane ,akalia sana akasema umeona coz wazazi wangu wamefariki ndo unataka kuniacha sawa,huruma ikaniingia tukayamaliza ,kwa sasa naona ametulia hata Kanisani anahudhuria vizuri tu
Heee!
 
Samahani nikuulize, wewe ni dhehebu gani? Na upo mkoa gani, naweza pata basis ya kukusaidia.
MUNGU ANACHUKIA KUACHANA, mkiachana hutopata amani siku zote hadi unaingia kaburini. Msiachane na wala wakt huu sio wakati wa kuchepuka.
Acha kumdanganya.
Hata mateso Mungu hapendi pia.
 
Unisamehe nitakachoongea hapa, haiwezekani Siku ya kwanza mume akutamkie eti wanawake wa nje hatoacha? Dhalau gani? Hukulia jamani?

Nimevaa viatu vyako vimenilegea nawaza dia au wewe ndio ulilazimisha ndoa? Au ilitegesha mimba akalazimika kukuoa?

Ni nini shida mbona mwanaume anakunyanyasa hivyo?

Kweli dia alikuoa kutoka moyoni mwake? Au ulivyoona imefika 28 ukawa desperate ukaamua kuolewa ukidhani umri umeenda? Mbona sisi tupo?

Ndoa ni kifungo dia, yaan nakuonea huruma. Nashindwa kukushauri umuache maana mm sipendi usingle Maza hata Siku moja.

Ila unajua nini dia, vumilia huu mwaka uishe asipobadilika, waweza mwambia aoe mwanamke anae mpenda, wewe Lea wanao thank God una kazi.

Pole sana hii imeniuma sana mtu unadhani mmeo ndio atakupa raha anageuka simba?

Ee Mungu msaidie huyu binti.
Ahsante dear kwa ushauri ,nilivomaliza form six ndo tulianza mahusiano but tunatoka sehem moja Nyumbani ,na kipindi nimepata kazi na yeye alikuwa anafanya kazi,nikapata ujauzito ,akanambia itabidi tuoane ,kweli tulibadiliki ndoa kanisani but mimi ndo mume wangu wa kwanza ,kumbe wakati tupo kwa mahusiano alikuwa na mahusiano na wasichana wengine nilikuwa sijui ,but baadae alikuja kunambia baadhi walikuwa waislam asingeweza kuoa ,na mdogo wake wa kiume alitaka kumuoa mdogo wangu alienifuata ,akamwambia nipo na dadake nina mpango wa kuja kumuoa
 
Samahani nikuulize, wewe ni dhehebu gani? Na upo mkoa gani, naweza pata basis ya kukusaidia.
MUNGU ANACHUKIA KUACHANA, mkiachana hutopata amani siku zote hadi unaingia kaburini. Msiachane na wala wakt huu sio wakati wa kuchepuka.
Nilimuapia kwamba kama ulinikuta bikra siwezi kutemebea na mngine mbali na mume wangu ,but imefika hatua natamani kutoka na nimwtokea kama kitowapenda wanaume hata kazini najiona hii hali imaniadhiri sana ,mimi ni mmorevian but nilikuwa nasali katoliki mkarismatic ,nikabadli kwa makubaliano ya ndoa
 
kwakeli wewe unazaliwa na Mke wa gwajima.MNA moyo sawa, yaan ale samaki peke yake nipo namuona? Siwezi mwacha cha kufanya najisogeza natoa kichwa nakila naona atafanyaje sio kwa uchoyo huo.

Wewe Dada sikujii ila Leo na kuweka kwenye maombi.

Ale samaki mzima mwenyewe aje kitandani ale na papuchi yako?? No way!!!
Amen dear ,nilikuwa nashangaa kwa kipindi cha mwanzo but mengi ya uchoyo nimeshazoea
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom