Nisaidieni, umasikini wa familia unanitatiza

Yaani wewe unaonyesha ukikopa utakimbia deni
unataka ukope halafu ukae na hela ya taasisi inayofanya biashara kwa miaka saba halafu urudishe kama ilivyo, labda benki za kiislam ambako sidhani kama utarudisha hela jinsi ilivyo
tatizo kubwa unajilinganisha na hao unaowaita mates, kumbuka kila mmoja ametoka kwenye background tofauti
Huyu anataka hela kama Zawadi na sio mkopo! Mtu wa kukuzawadia 30M labda mjomba wake 😅!

Kwa hali ya sasa laki moja tu inatolewa kwa masharti magumu sana ikiwemo passport za wazazi wote waili na riba ya 30% kwa muda usiozidi mwezi mmoja!
 
Wakuu habari zenu,

Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.

Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.

Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)

Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.

Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)

Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.

Wakuu katika situation kama hii

Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?

Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)

Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?

Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.

Karibuni wakuu
Hapa ni wewe ndiyo mwenye jibu.Unachauliza hapa ni kubadili aina ya maumivu.kati ya kuondolea aibu wazazi wako na kufanya marejesho yenye maumivu.kupanga ni kuchagua.Ila kama ni mimi so longer as hakuna mtu atakufa kwa hizo aibu si wezi ingia kwenye comitment za aina hiyo.Vipi kama kazi yako ikiisha kabla ya kumaliza mkopo?
 
Wafanyakazi wengi nchi hii kipato chao sio zaidi ya 6M kwa mwaka.

Na hivyo hata wakitutumua sana, hawawezi kukopa zaidi ya 15M kwa miaka 7.

Huyu mwenye uwezo wa kufanya matejesho ya Tsh 500,000 kwa mwezi anasema anasema ana po erty circle ni muongo.

Ninachokiona hapa ni TAMAA, kutaka awe kama kina Fulani Overnight wakati watu wanatofautiana.
Asante kwa ushauri mkuu. Kuhusu tamaa nikutoe wasiwasi siko hivyo.

Ukweli unabaki palepale nahitaji pesa kwa serious pressing needy to save the fame of my family and myself trying to avoid trapped in the poverty circle. Nashindwa kufafanua Kama nilivyobainisha hapo juu.

Bro just analyse my situation and advice accordingly .
 
Huyu anataka hela kama Zawadi na sio mkopo! Mtu wa kukuzawadia 30M labda mjomba wake !

Kwa hali ya sasa laki moja tu inatolewa kwa masharti magumu sana ikiwemo passport za wazazi wote waili na riba ya 30% kwa muda usiozidi mwezi mmoja!
Heshima kwa JF

U teasy my mind bro
 
Umeongea point sana mkuu, kuishi kwa kujilinganisha na watu usio juwa wanapataje, pia kila mtu na maisha yake Mungu alimzawaidia ndio maana kuna vilema, kuna wazima, kuna wagonjwa mahututi na kuna walio hai na afya njema, swali la kujiuliza unataka uheshimike ili iweje au uende wapi, kikubwa ni mahitaji ya kila siku ya familia basi
 
Wakuu habari zenu,

Naomba usiache kuchangia kwenye uzi huu ili niweze kupata msaada wa kukabili changamoto nazopitia.

Case yangu iko hivi: Nina uhitaji wa kiasi cha pesa kisichopungua milioni 30. Pesa hii sina uwezo wa kuipata kwa pamoja based on my job monthly income.

Lakini Kuna sense of urgency pesa hii inahitajika ili kutatua pressing needy inayoikabili familia yangu. (Mniwie radhi sitatoa details za issue yenyewe coz ninao ndugu na jamaa humu JF wasije ona nauvua nguo hadharani ukoo wangu)

Uharaka wa kuipata pesa hii umenifikisha bank kadhaa kuangalia kama naweza pata kiasi hiki cha pesa. Hata hivyo nimeishia kuchanganyikiwa tu coz inatakiwa niwe na pesa ya marejesho isiyopungua kiasi cha laki 6.7 kwa muda wa miaka Saba. Yaani unakopa milioni 32 unarudisha milioni 54.

Mbaya zaidi pesa hii tunayohiitaji ni totally for consumption and liability . Yaani sio ya kuzalisha (not for investimate) ila itatuondolea haibu na kumfanya mzazi wangu niliye naye ajisikie vizuri na ku appreciate uzao wa tumbo lake)

Situation inakua tough coz mimi binafsi nahitaji pesa kama nusu ya hiyo ili kuboresha maisha yangu hapa mjini. Kuna mambo niko nyuma sana ukijilinganisha na mate wenzangu wenye status sawa hali inayopelekea kuninyima confidence and ending up being confused and frustrated.

Wakuu katika situation kama hii

Unazani ni sahii kuchukua mkopo umiza utakaonitesa for seven years?

Je, ni wapi napoweza pata pesa bila riba kubwa? (Ninaweza jicommite kiasi cha laki 5 kila mwezi ili nirudishe principal loarn)

Je, katika situation hii kipi kiwe kipaumbele kurejesha tabasamu kwa mzazi na fame ya familia au nijiokoe mwenyewe kwanza?

Wenye uzoefu wa maisha tafadhari usiache kutoa msaada wako wa kimawazo.

Karibuni wakuu
Tafuta mwanaume au jimama la mjini liwe linakupa matunzo, hicho kihela utakipata ndani ya muda mfupi sana
 
Umeongea point sana mkuu, kuishi kwa kujilinganisha na watu usio juwa wanapataje, pia kila mtu na maisha yake Mungu alimzawaidia ndio maana kuna vilema, kuna wazima, kuna wagonjwa mahututi na kuna walio hai na afya njema, swali la kujiuliza unataka uheshimike ili iweje au uende wapi, kikubwa ni mahitaji ya kila siku ya familia basi
Dah...heshima yako mkuu
 
Naona unataka kukopa pesa ujengee wazazi ..

Na wewe pia unataka ukpoe nusu ya 40mol ili 'uboreshe maisha yako mjini hapa" kwasababu ukiwaangali "mates zako " wamekupita kimaisha ....

Maisha sio Mashindano, live your life...

You trying too hard to seek social approval
Kila la kheri mkuu
 
aiseeee.....kwanza pole.....usikope kwa ajili ya kumfurahisha Bin - Adam........kopa kuwekeza......kaa na mzazi mwenzio muangalie njia stahiki.....hata kama ni tiba.......fanya kwa uwezo wako ukitafuta wafadhili.......endelea kujipa moyo mkuu.....penye nia pana njia....jiamini wewe uko vema...mengine mipango....
 
Jaribu uingie ktk asasi za kiislamu,, hawanaga riba wale. Wako poa sana
 
Embu kuwa muwazi, kama ni case ambayo inaweza pelekea mzazi wako kufia jela kopa tu uondoe hiyo aibu kwenye familia yako, ila kama ni ku- furahisha familia ili uonekane na wewe una pesa achana na mikopo mara moja…

Siku zote first born ndio tunabebeshwa mizigo katika familia, pole sana kwa unayopitia kwa sasa…
 
Haukuzaliwa peke yako kwenu; Pambana na maisha yako tu, nyumbani wasaidie pale unapoweza. Unaweza kutumia kama 5M kuwaboreshea mazingira, nawe hiyo 25 tumia kwenye uwekezaji wako. Hapo ulipo unaitaji nyumba nzuri, mke mzuri, gari zuri. Sasa utafanikishaje malengo, wakati hela zote unapeleka kwenu huku ukitafuta kusifiwa na majirani? Mkuu jali maisha yako tu.
 
Wengi tunapitia ktk situation kama yako, personaly home kwetu hapafai, lkn nilijinyima nikasimamisha kanyumba ka tofali za kuchoma within a year nikawa nimefikia rinter, nimebakiza kupaua tuu. Hapo sikukopa hata shilingi.

Naamini wazazi wako wapo kijijini ambako gharama za ujenzi ni za kawaida, na hapahitajiki mbwembwe nyingi kwenye nyumba kama za hapa mjini.

Shida yako unataka ukamilishe vyote ndani ya muda mfupi, na pia unataka kufanya ili u-prove watu na nyie mko pazuri which can cost u a lot.

Nenda mdogomdogo mkuu, mfano jiwekee malengo ikifika january hakikisha unasave 500k/600k kila mwezi. Ndani ya miezi 10 utakuwa na 6M ambazo zinatosha kabisa kusimamisha nyumba huko kijijini kwenu.

Ukishamalizana na wazazi wako sasa ndo ugeukie upande wako, maana huwezi kufanya yote kwa pamoja.
 
Wengi tunapitia ktk situation kama yako, personaly home kwetu hapafai, lkn nilijinyima nikasimamisha kanyumba ka tofali za kuchoma within a year nikawa nimefikia rinter, nimebakiza kupaua tuu. Hapo sikukopa hata shilingi.

Naamini wazazi wako wapo kijijini ambako gharama za ujenzi ni za kawaida, na hapahitajiki mbwembwe nyingi kwenye nyumba kama za hapa mjini.

Shida yako unataka ukamilishe vyote ndani ya muda mfupi, na pia unataka kufanya ili u-prove watu na nyie mko pazuri which can cost u a lot.

Nenda mdogomdogo mkuu, mfano jiwekee malengo ikifika january hakikisha unasave 500k/600k kila mwezi. Ndani ya miezi 10 utakuwa na 6M ambazo zinatosha kabisa kusimamisha nyumba huko kijijini kwenu.

Ukishamalizana na wazazi wako sasa ndo ugeukie upande wako, maana huwezi kufanya yote kwa pamoja.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom