Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,645
Huyu anataka hela kama Zawadi na sio mkopo! Mtu wa kukuzawadia 30M labda mjomba wake 😅!Yaani wewe unaonyesha ukikopa utakimbia deni
unataka ukope halafu ukae na hela ya taasisi inayofanya biashara kwa miaka saba halafu urudishe kama ilivyo, labda benki za kiislam ambako sidhani kama utarudisha hela jinsi ilivyo
tatizo kubwa unajilinganisha na hao unaowaita mates, kumbuka kila mmoja ametoka kwenye background tofauti
Kwa hali ya sasa laki moja tu inatolewa kwa masharti magumu sana ikiwemo passport za wazazi wote waili na riba ya 30% kwa muda usiozidi mwezi mmoja!