trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Touchscreen system kuna wakati inagoma,au unapobonyeza au kuhitaji icon ya chini,inakubali ya juu. Au kuandika meseji,unapobonyeza herufi m,n,o, inakataa inakubali d,e,f.. Je nini utatuzi wake..
jamani tusaidiane ina usumbufu unaokera nilikuwa sina haja ya kuislide ili kuitumia,lakini sasa bila kuislide siwezi kufanya lolote..