Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,507
- 23,708
Sisi wanaume πππ tunahitaji kuonewa huruma na pia kuombewa sana. Imagine natoka nyumbani kwa mama chausiku. Naenda zangu kilingeni kupiga kazi. Huko napata 5000 kwa mbinde sana. Baada ya kubeba mizigo siku nzima.
Kinachoniumiza napata hiyo 5000 nahonga 4000 nakula 1000. Home watoto wameshindia uji wa chumvi tu.mchepuko anakula chips nahonga pakubwa nakula padogo.
Roho huwa inaniuma sana naporudi home nina 800 maana 200 nlinunulia mihogo.lakini kesho tena inanitokea hivyo hivyo.najiuliza kwa nini nahonga pakubwa nakula padogo?
Nisaidieni mabaharia...nifanyeje hapo.
Baba Chau.
Kwa hisani ya Wamwiduka
Kinachoniumiza napata hiyo 5000 nahonga 4000 nakula 1000. Home watoto wameshindia uji wa chumvi tu.mchepuko anakula chips nahonga pakubwa nakula padogo.
Roho huwa inaniuma sana naporudi home nina 800 maana 200 nlinunulia mihogo.lakini kesho tena inanitokea hivyo hivyo.najiuliza kwa nini nahonga pakubwa nakula padogo?
Nisaidieni mabaharia...nifanyeje hapo.
Baba Chau.
Kwa hisani ya Wamwiduka