katuni
Senior Member
- Dec 8, 2012
- 151
- 77
Nina mama yangu mdogo yu mgonjwa kwa muda mrefu sana.
Matatizo yake yanahusiana na haya mambo ya kiswahili. Ameshakaa sana hospital bila mafanikio. Amekwenda huku na kule lakini wapi. Kinachomtesa ni JINI. Ana jini kubwa sana ambalo lilimkumba tangu akiwa bado mdogo. Baadhi ya wataalam walikili kwamba ni ngumu kulitoa hilo jini.
Wengine wakasema likitolewa na yeye mama anaweza akafariki. Linamtesa sana mama yangu. Sasa ivi hadi amepalalaizi mkono ila mdomo haujampinda. Nisaidieni japo kunielekeza kwa mtu ambaye unadhani ataweza kumsaidia huyu mama maana waganga wengi ni siyo kweli. Ukiona aibu kunielekeza hapa, we nitumie hata PM unielekeze.
Nisaidieni jamani.
Matatizo yake yanahusiana na haya mambo ya kiswahili. Ameshakaa sana hospital bila mafanikio. Amekwenda huku na kule lakini wapi. Kinachomtesa ni JINI. Ana jini kubwa sana ambalo lilimkumba tangu akiwa bado mdogo. Baadhi ya wataalam walikili kwamba ni ngumu kulitoa hilo jini.
Wengine wakasema likitolewa na yeye mama anaweza akafariki. Linamtesa sana mama yangu. Sasa ivi hadi amepalalaizi mkono ila mdomo haujampinda. Nisaidieni japo kunielekeza kwa mtu ambaye unadhani ataweza kumsaidia huyu mama maana waganga wengi ni siyo kweli. Ukiona aibu kunielekeza hapa, we nitumie hata PM unielekeze.
Nisaidieni jamani.