nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Mimi natumia PC ambayo tunashare na mwenzangu, sasa nina login kwenye forum kama jamii, baadae inabakiza kumbukumbu kuwa nguvumali alilogin, sasa inanikera sana.
naleta kwenu wanatechnolia ya computer ili niwze kuondokana nakero hii, nifanyeje kuondoa hali hii
naleta kwenu wanatechnolia ya computer ili niwze kuondokana nakero hii, nifanyeje kuondoa hali hii