Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 166
Ndugu yangu anaumwa sana alipoenda hospital muhimbili wamesema figo imejaa maji wakati hindu mandal wamesema moyo ndio tatizo haufanyi kazi vizuri.
Mwili mzima umevimba na upumuaji umekuwa wa shida sana hatembei miguu yote inauma na uongeaji umekuwa wa shida sana. Ushauri na maombi yako ni muhimu sana.
Mwili mzima umevimba na upumuaji umekuwa wa shida sana hatembei miguu yote inauma na uongeaji umekuwa wa shida sana. Ushauri na maombi yako ni muhimu sana.