Ndugu zangu na mdogo wangu anasoma darasa la 7 sasa ila ameshakuwa matured tayari,ila ana
tatizo kubwa la Kutoa harufu mbaya saaaaana mdomoni ni mithiri ya choo.
hasa akiongea hata katika umbali fulani utaisikia harufu ninamsikitikia manake ni kazuri na ni mtoto wa kike
jamani si nitakosa shemeji miye mwenzenu?? ninapomuuliza anajiskiaje husema hajiskii hiyo harufu ila ninafahamu adha
ya harufu ya kinywa plz i need your help colligs.
tatizo kubwa la Kutoa harufu mbaya saaaaana mdomoni ni mithiri ya choo.
hasa akiongea hata katika umbali fulani utaisikia harufu ninamsikitikia manake ni kazuri na ni mtoto wa kike
jamani si nitakosa shemeji miye mwenzenu?? ninapomuuliza anajiskiaje husema hajiskii hiyo harufu ila ninafahamu adha
ya harufu ya kinywa plz i need your help colligs.