M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Wadau hebu nisaidieni..
Traditionally mwanaume ndio mwenye jukumu la kutunza watoto, lakini hivi ni sawa kama mama wa watoto nae ana kipato kuacha kununua hata kiatu cha mtoto wake mwenyewe wa kumzaa akisubiri kuwa baba mtoto atabeba jukumu?.,hebu wenye experience zaidi na masuala haya mnisaidie jamani.
Traditionally mwanaume ndio mwenye jukumu la kutunza watoto, lakini hivi ni sawa kama mama wa watoto nae ana kipato kuacha kununua hata kiatu cha mtoto wake mwenyewe wa kumzaa akisubiri kuwa baba mtoto atabeba jukumu?.,hebu wenye experience zaidi na masuala haya mnisaidie jamani.