Nisaidieni mawazo hapa wakuu

27.08.2021

Hesabu rahisi ni chukua mwezi uliolipa kodi jumlisha mara idadi ya miezi uliyolipia (eg 3+6months) jawabu utakalopata ndio mwezi kodi yako inapoisha.
Wow! Nimefurahi kusikia hivi, baba mwenye nyumba wangu ananiambia mwezi huu ndo natakiwe nimlipe Jodi yake tena.

Naenda kumuonyesha hii text yako.
 
Inategemea ulihamia lini hapo, au contract yako inasemaje, siyo lini ililipa kodi. Unaweza ukawa umelipa kodi kabla ya tenant agreement yako, au ukawa umelipa kodi baada ya kuhamia.

Mara nyingi tenant agreement zinaanza mwanzo wa mwezi (tarehe moja) au katikati ya mwezi (tarehe 15). Kwa hiyo piga mahesabu kuanzia siku ni lini tenant lease agreement yako imeanza
 
Inategemea ulihamia lini hapo, au contract yako inasemaje, siyo lini ililipa kodi. Unaweza ukawa umelipa kodi kabla ya tenant agreement yako, au ukawa umelipa kodi baada ya kuhamia. Mara nyingi tenant agreement zinaanza mwanzo wa mwezi (tarehe moja) au katikati ya mwezi (tarehe 15). Kwa hiyo piga mahesabu kuanzia siku ni lini tenant lease agreement yako imeanza
Mkuu wewe unaongea kitu gani hiki?
 
Mkuu wewe unaongea kitu gani hiki?
Wenye nyumba za kupangisha wanaelewa. Wewe ulipohamia hapo kwako ilikuwa lini? {Piga mahesabu kuanzia siku hiyo. Inaweza ikawa ndiyo siku hiyo hiyo uliyolipa na ndiyo siku ya kwanza.

Wengine huwa wanahamia lakini wanachelewa kulipa hiyo siku ya kwanza au kabla ya kuhamia. Kwa mfano kama ulihamia tarehe 15, lakini ukaja lipa hiyo tarehe 27, haijalishi hiyo siku uliolipa.

Siku ya kwanza ni siku mkataba wako unasema lini umeanza kukaa hapo. Kama wewe ulihamia hiyo 27/2 na ndiyo siku uliyolipa, then 26/8 ndiyo itakuwa miezi sita imeisha. Ushaelewa?
 
Kesho utakuja na post kuwa umemaliza udsm,unamiliki crown unakaa masaki ,hata kujumlisha hujui
Ahahaha! Maisha ya mtandaoni haya jishikilie mkuu.
Kesho nakuja nakwambia wafanyakazi wangu wa kiwandani wananisumbua.
 
Wenye nyumba za kupangisha wanaelewa. Wewe ulipohamia hapo kwako ilikuwa lini? {Piga mahesabu kuanzia siku hiyo. Inaweza ikawa ndiyo siku hiyo hiyo uliyolipa na ndiyo siku ya kwanza...
Nilihamia na kulipa siku hiyo hiyo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom