Huuu umenichosha zaidiUzinduzi kila konaView attachment 759873
Uzinduzi kila konaView attachment 759873
Mkuu acha zije,View attachment 759855 View attachment 759857Hakika sijawi kumuelewa sijui ni nani anamshauri
Ndege sio kipaumbele chetu, tuboreshe huduma za elimu, afya Na majiView attachment 759855 View attachment 759857Hakika sijawi kumuelewa sijui ni nani anamshauri
Kabisa na baada ya maandamano kudhibitiwa amezidi kuwa wa wanyongeAisee rais wa wanyongwe.
hahaha is this real au ni photoshop?Uzinduzi kila konaView attachment 759873
inauma sana basi tu.....muda utaongea.Huduma za afya mikoani ni za kubahatisha. Mpaka sasa hivi ukiwa mgonjwa kama uko Maramba ndugu zako wata changa hela upelekwe Dar kwenye vipimo vya kueleweka. Kama ndugu hawana pesa au huna ndugu basi utasubiri kuimbiwa parapanda