Nisaidieni kuhusu imani yangu.....

Konakali

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
1,533
263
Wana JF habarini za week-end? Bila shaka imeenda salama kabisa na kila mmoja ameweza kurejea kwa mkoloni wake kwa utumishi wake... Leo napasua ukweli wa moyo wangu juu ya imani hasa kwenye uwanja wa mapenzi; Hivyo, naombeni mahubiri kwa ajili ya kupata imani sawia..

Kuwa kutokana na ninayoyashudia hapa duniani nashindwa kuamini kama kuna uaminifu katika mapenzi.... Je, Am I right or wrong anyway? This made me not even trust my sister against my brother.... my dad against my mother in law.... my GF against my brother.... my co-worker against our boss..... my classmate against our teacher..... etc.
 
Uko kweli mia kwa mia.... Siku hz hakuna kitu inaitwa UAMINIFU katika mapenzi... Hiyo kitu ilikuwa zamani kwa mababu na mabibi!
 
Wana JF habarini za week-end? Bila shaka imeenda salama kabisa na kila mmoja ameweza kurejea kwa mkoloni wake kwa utumishi wake... Leo napasua ukweli wa moyo wangu juu ya imani hasa kwenye uwanja wa mapenzi; Hivyo, naombeni mahubiri kwa ajili ya kupata imani sawia..

Kuwa kutokana na ninayoyashudia hapa duniani nashindwa kuamini kama kuna uaminifu katika mapenzi.... Je, Am I right or wrong anyway? This made me not even trust my sister against my brother.... my dad against my mother in law.... my GF against my brother.... my co-worker against our boss..... my classmate against our teacher..... etc.
Mapenzi ya kweli yapo, uaminifu upo, kuheshimiana kupo...! Haya yote yanategemea malezi na mkuzi ya muhusika.
 
Uko kweli mia kwa mia.... Siku hz hakuna kitu inaitwa UAMINIFU katika mapenzi... Hiyo kitu ilikuwa zamani kwa mababu na mabibi!
Kwa hiyo swala la kumwamini mwenzio kwenye mapenzi limeshakuwa ndoto.... Thanks for your openness.... Kwa sababu baadhi ya watu wamekuwa wakija juu wanisikiapo nikisema "I never trust a human being....... but I can have hope instead...."
 
uaminifu kweli upo paster lakini utamuamini mtu lakini hakuamini au atakusaliti because u trust and love him!!!love,,???omg sijui ni kitu gani wallah!!!
Mapenzi ya kweli yapo, uaminifu upo, kuheshimiana kupo...! Haya yote yanategemea malezi na mkuzi ya muhusika.
 
uaminifu kweli upo paster lakini utamuamini mtu lakini hakuamini au atakusaliti because u trust and love him!!!love,,???omg sijui ni kitu gani wallah!!!
Nafurahi kukuona tena baada ya kuniacha njia panda hadi leo..... Nami nimebaki kuamini kuwa uaminifu umetoweka kabisa.... na njia pekee ni kuwa mwaminifu kivyako, japo si kumwamini mtu wala kumfanya akuamini.....
 
u said u cant trust human being,,,,thats cant be the solution bcause wengine wanastahili ku b srusted with others why not my dear????but kivyengine its true kwa sababu mke na mume hawamiani ije kuwa bf na gf???oooh i do know what's happen in this world every thing changes now days,,,,
Kwa hiyo swala la kumwamini mwenzio kwenye mapenzi limeshakuwa ndoto.... Thanks for your openness.... Kwa sababu baadhi ya watu wamekuwa wakija juu wanisikiapo nikisema "I never trust a human being....... but I can have hope instead...."
 
jamani tusitishane kihivo! Mbona mimi bado naamini katika uaminifu wa mapenzi japo nakubali wengi wetu si waaminifu lakini wapo wake na waume ambao ni waaminifu
 
Hakuna uaminifu kabisa siku hizi bwana tusidanganyane hapa
Nakukubali Dena..... Watoto wenyewe wanasema hawadanganyiki.... why us adults? For sure there is no longer trust.... But, I am asking myself on what to do then?
 
noo not like dat si nimesema nilikuwa taaban mwenzio wallah nikumshukuru allah tu kwa rehma zake leo tumekutana binaadam hujafa hujaumbika my dear sikutegemea mi kupona na kuwa hapa nilipo wakati huu la!!! il llahh!!!
Nafurahi kukuona tena baada ya kuniacha njia panda hadi leo..... Nami nimebaki kuamini kuwa uaminifu umetoweka kabisa.... na njia pekee ni kuwa mwaminifu kivyako, japo si kumwamini mtu wala kumfanya akuamini.....
 
Kwa hiyo swala la kumwamini mwenzio kwenye mapenzi limeshakuwa ndoto.... Thanks for your openness.... Kwa sababu baadhi ya watu wamekuwa wakija juu wanisikiapo nikisema "I never trust a human being....... but I can have hope instead...."

Hakuna UAMINIFU Konakali... Ukimpa kisogo wakwako... Tayari yuko na mwingine!!!! Na ukirudi unapendwa kama hakuna kilichotokea
 
Nakukubali Dena..... Watoto wenyewe wanasema hawadanganyiki.... why us adults? For sure there is no longer trust.... But, I am asking myself on what to do then?

Huyu naona hana mke/mume. Uaminifu ziro siku hizi
 
jamani tusitishane kihivo! Mbona mimi bado naamini katika uaminifu wa mapenzi japo nakubali wengi wetu si waaminifu lakini wapo wake na waume ambao ni waaminifu
How many relationships do you had till today? Did you being perfect as you know yourself? Have you being moving out of your residential place? How frequent, and what did you observed on your trips? Then you say you can trust a human being.....!!!!! How many case we normally here through forums like JF, friends, media, etc. about mzee kutembea na mwanae wa damu, mtu na mdogo wake, mtu na shemejie... Hatukutishi mkuu, bali haina maana kukudanganya.....
 
uaminifu kweli upo paster lakini utamuamini mtu lakini hakuamini au atakusaliti because u trust and love him!!!love,,???omg sijui ni kitu gani wallah!!!
Uktih Niliham, Mambo ya mapenzi ni uwanda mpana sana na kuna mambo mengi yenye kusababisha kupungua kwa mapenzi na kuto kuaminiana...! Sababu kubwa ya wanandoa kuchokana, kunasababishwa na wana ndoa wenyewe, pale ambapo mtashindwa kutumia nafasi yanu na vipawa malivyopewa kuleta utulivu katika ndoa yenu...! Hii yote ni kutokuwa na akhlaaq nzuri. Mambo mengine usababishwa na Kutokuwa na Imani na Taqwa inayohitajika, Watu kuingia katika ndoa bila ya kujua haki na majukumu yake, Ukabila na utaifa na mambo ya kadha wa kadha...!

Kuna msemo mmoja wa kiswahili unasema hivi "Mapenzi ni shamba lenye kuitaji mbolea na kupaliliwa"
 
noo not like dat si nimesema nilikuwa taaban mwenzio wallah nikumshukuru allah tu kwa rehma zake leo tumekutana binaadam hujafa hujaumbika my dear sikutegemea mi kupona na kuwa hapa nilipo wakati huu la!!! il llahh!!!
Duh.... Pole nimpendaye..... nini kimekutokea? Aidha, tumshukuru Allah.....!
 
How many relationships do you had till today? Did you being perfect as you know yourself? Have you being moving out of your residential place? How frequent, and what did you observed on your trips? Then you say you can trust a human being.....!!!!! How many case we normally here through forums like JF, friends, media, etc. about mzee kutembea na mwanae wa damu, mtu na mdogo wake, mtu na shemejie... Hatukutishi mkuu, bali haina maana kukudanganya.....

Kweli kabisa hawa wanajifariji tu. UAMINIFU ZIROOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
How many relationships do you had till today? Did you being perfect as you know yourself? Have you being moving out of your residential place? How frequent, and what did you observed on your trips? Then you say you can trust a human being.....!!!!! How many case we normally here through forums like JF, friends, media, etc. about mzee kutembea na mwanae wa damu, mtu na mdogo wake, mtu na shemejie... Hatukutishi mkuu, bali haina maana kukudanganya.....
Mh. Nisome kwa nukta kwenye mchango wangu. Nimeweka bayana kabisa juu ya suala zima la watu kutokuwa waaminifu lakini hiyo haifanyi jamii nzima kuwa na tatizo hilo.
Kutendwa/kutenda kwenye mahusiano yangu si kipimo pekee kitakachonifanya niseme hakuna waaminifu.
 
jamani tusitishane kihivo! Mbona mimi bado naamini katika uaminifu wa mapenzi japo nakubali wengi wetu si waaminifu lakini wapo wake na waume ambao ni waaminifu

Hapo Shabash!!!!!!, Umesema Ukweli, Uaminifu Upo tena kwa sana!!, huwezi kuuona kwa macho!!, Uki- jiamini wewe mwenyewe, mungu atakudhihirishia wazi peupe ukitendewa. Majaribio mengi, upitapo uuwazi mwingi sana( Soko Huria). Jambo ni kuamini Mwenyezi mweza wa yote!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom