Najua alternative moja tuu, kwenda au kutumia makampuni ya simu kutrack mawasiliano ya mtu fulani kwa sababu fulani. Je kuna technology nyingine? Kuna mtu nimemsikia analalamika sana kuwa kuna mtu anamletea taarifa ya kila msg anayoituma kwa watu, kiasi kwamba haoni tena umuhimu wa kutumia simu. Just help me know, na pia nimshaurije huyu mtu.