Sauda
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 860
- 1,106
Nimesoma sehemu faida nyingi zinazopatikana ndani ya Soya, ila nimekatwa maini baada ya kuambiwa kuwa Soya inayo sumu ndani yake, ambapo kama hujaiondoa Sumu hiyo, basi itasababisha matatizo mwilini.
Nimejaribu kwenda Google lakini maelezo yao hata siyaelewi!
Kaka zangu na Dada zangu nisaidieni ndugu yenu jinsi ya kuziondoa hizo sumu, asanti!
Nimejaribu kwenda Google lakini maelezo yao hata siyaelewi!
Kaka zangu na Dada zangu nisaidieni ndugu yenu jinsi ya kuziondoa hizo sumu, asanti!