Proud Patriot
JF-Expert Member
- Oct 13, 2010
- 224
- 10
Salaam wana-JF! Katika hali ya kunishangaza mpaka moyo kushtuka kijoti, wakati napitia hotuba ya Rais JK ya sept 2011 nilishtushwa na hili,nanukuu: ".....Ndiyo maana katika Wizara ya Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
tumeunda Idara ya kushughulikia
Watanzania walioko nchi za nje.
"
Sasa nikajiuliza wizara ya mambo ya NJE imeagizwa kuanzisha idara ya kushughulikia watanzania walioko nchi za NJE. Hivyo kunifanya nihoji kwani waTZ walioko nje walikuwa (huwa) wanashughuliwa na wizara/chombo kipi cha Serikali kabla. Kwa uelewa wangu nilidhani kuwa ni wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndo inahusika na waTZ waishio nchi za nje. Naomba mwongozo kwa yafuatayo:
Je kundi hilo la waTZ lilikuwa likishughulikiwa na wizara/chombo kipi?
If you ask me, sioni sababu ya kuanzishwa idara ya "A" katika wizara ya "A & B". Hii kwa kweli ni unnecessary expenditure
ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
tumeunda Idara ya kushughulikia
Watanzania walioko nchi za nje.
"
Sasa nikajiuliza wizara ya mambo ya NJE imeagizwa kuanzisha idara ya kushughulikia watanzania walioko nchi za NJE. Hivyo kunifanya nihoji kwani waTZ walioko nje walikuwa (huwa) wanashughuliwa na wizara/chombo kipi cha Serikali kabla. Kwa uelewa wangu nilidhani kuwa ni wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndo inahusika na waTZ waishio nchi za nje. Naomba mwongozo kwa yafuatayo:
Je kundi hilo la waTZ lilikuwa likishughulikiwa na wizara/chombo kipi?
If you ask me, sioni sababu ya kuanzishwa idara ya "A" katika wizara ya "A & B". Hii kwa kweli ni unnecessary expenditure