ukigoma unataka hamu
zake zikatulizwe na nani?
mwambie u mkeo atafute mtu wa
kukusaidia, atapatikana fasta...
na hili ndilo analolitafuta...
mkuu, ongeza bidii, kula chakula
bora ukishindwa hata vya kuongeza ashiki, mtimizie mkeo haki yake,
unadhani aliolewa ili akufulie....mpe mpe mpe... au hujui 'kunyimana' ni
dhambi?
Hajafunzwa huyo mleteni Tanga huyo,aibu dume zima unashindwa na mkeo,mualike jirani yk.