Nisaidieni Internet Service Provider

Mkanya

JF-Expert Member
Feb 14, 2008
599
14

JAMANI WASAMALIA WEMA NAOMBA MSAADA WAKUMFAHAMU ISP(INTERNET SERVICE PROVIDER)AMBAYE ANAFANYA KAZI NZURI MAAANA NAHITAJI HUDUMA YA INTERNET Ni katika Jiji la Dar es salaam ni maitaji katika office,nilitaka niweke ya ttcl bussness broadband lakini nikaona niwaulize kwanza wataalamu kabla sija ingia TTCL,nilikuwa nahitaji internet ambayo ni faster na IDADI YA Computer ZIPO 20 kwa ajili ya internet,So kuna Company nyingi lkn sifahamu zinavyo fanya kazi kama Simba net,iWAY na nyinginezo sasa naomba kama kunamtu ana uzoefu na hawa ISP anisaidie nimchague anaetoa huduma nzuri bila kullimit Computer,au hata kama wapo wale wanao toa huduma kwa satelite nayo pia itafaa,maana nahitaji kazi nzuri Bila malimitation ya ajabuajabu,Naomba mnisaidie basi kama kuna mtu anafahamu hawa jamaa wanaotoa huduma hizi za internet.
 
Jamani mnisaidi naitaji internet service yupi anatoa vizuri??

..anatoa vizuri nini? vingi vinatolewa yakhe!

..sasa,kwani we uko wapi?[mkoa gani,eneo gani]

..halafu unatumia aina gani ya pc? laptop au desktop?

..pia unatumia operating system ipi?

..na je? unataka budget isp au speed na kadhalika?

..ukiyajibu haya,si yote hata baadhi,nitapata mwanga wa kukusaidia kukuambia "anayetoa vizuri"!
 
Ni katika Jiji la Dar es salaam ni maitaji katika office,nilitaka niweke ya ttcl bussness broadband lakini nikaona niwaulize kwanza wataalamu kabla sija ingia TTCL,nilikuwa nahitaji internet ambayo ni faster na Computer ni 20 kwa ajili ya internet,So kuna Company nyingi lkn sifahamu zinavyo fanya kazi kama Simba net,iWAY na nyinginezo sasa naomba kama kunamtu ana uzoefu na hawa ISP anisaidie nimchague anaetoa huduma nzuri bila kullimit Computer,au hata kama wapo wale wanao toa huduma kwa satelite nayo pia itafaa,maana nahitaji kazi nzuri Bila malimitation ya ajabuajabu,Naomba mnisaidie basi kama kuna mtu anafahamu hawa jamaa wanaotoa huduma hizi za internet.
 
Suala la kuchagua ISP ni muhimu kwako lakini naona ni vizuri ukangalia na "reputation."

Mimi nafikiri unachohitaji ni package ya broadband yenye kuanzia 2MB mpaka 8MB na "telephone line" kutoka TTCL na ambayo nafikiri itakuwa "business package".

Pia watakwambia kwamba unahitaji Router kama za Belkin, D-Link na Linkys, na Switch ambayo inabidi iwe ile ya 24 ethernet ports na mimi nazipenda ile ya CISCO Networks au Netgear , server 1 na na hizo computer zako 20.

Kama unaweza mtafute mtaalam wa Networking ambae ni lazima awe na cheti cha CCNA na awe na uzoefu wa ku-design na kufanza "cabling infrastructure" ya LAN kwenye moja ya vyumba hapo ofisini kwako.

Au hao watu wa TTCL pia wanaweza wakafanza hivo na ku-"charge all in one price."

Baada ya hapo utakuwa unaenjoy matunda ya mtandao provided computer zako zote ni mpya so hazitaleta mgogoro katika "network" au "bottlenecks".

Nafikiri nimekujibu kwa kutumia utaratibu na standards za huku kwetu Cyber Village ambao mara nyingi ni "straight forward".
 
Suala la kuchagua ISP ni muhimu kwako lakini naona ni vizuri ukangalia na "reputation."

Mimi nafikiri unachohitaji ni package ya broadband yenye kuanzia 2MB mpaka 8MB na "telephone line" kutoka TTCL na ambayo nafikiri itakuwa "business package".

Pia watakwambia kwamba unahitaji Router kama za Belkin, D-Link na Linkys, na Switch ambayo inabidi iwe ile ya 24 ethernet ports na mimi nazipenda ile ya CISCO Networks au Netgear , server 1 na na hizo computer zako 20.

Kama unaweza mtafute mtaalam wa Networking ambae ni lazima awe na cheti cha CCNA na awe na uzoefu wa ku-design na kufanza "cabling infrastructure" ya LAN kwenye moja ya vyumba hapo ofisini kwako.

Au hao watu wa TTCL pia wanaweza wakafanza hivo na ku-"charge all in one price."

Baada ya hapo utakuwa unaenjoy matunda ya mtandao provided computer zako zote ni mpya so hazitaleta mgogoro katika "network" au "bottlenecks".

Nafikiri nimekujibu kwa kutumia utaratibu na standards za huku kwetu Cyber Village ambao mara nyingi ni "straight forward".



HESHIMA MKUU AKSANTE SANA :)
 
Jamani Naitaji Mapendekezo Mbalimbali Ndugu Zanguni,nisije Nikaingia Mkenge.
 
JAMANI NAITAJI MAPENDEKEZO MBALIMBALI NDUGU ZANGUNI,NISIJE NIKAINGIA MKENGE.
 
Ni kampuni gani ambayo itaweza kunipatia wireless network kwa laptop hapo bongo.

Na wanacharge kiasi gani kujiunga nao na kwa mwezi ni kiasi gani?

Msaada wenu tafadhali...!
 
Ni kampuni gani ambayo itaweza kunipatia wireless network kwa laptop hapo bongo.

Na wanacharge kiasi gani kujiunga nao na kwa mwezi ni kiasi gani?

Msaada wenu tafadhali...!

..ttcl[ttclmobile] na zantel.

..zantel ni rahisi zaidi na utalipa kadri unavyotumia!kwa prepaid!ni kama tshs 50 na kitu hizi kwa 1 mb.

..ila zantel ipo dar,unguja na pemba tu!. ttcl ni almost nchi nzima!
 
Wandugu,Nami pia nina shida inayofanana kiasi na hii!

Vipi ISP ya CATS net (sina uhakika kama nimepatia jina lake) huduma zake zikoje na zinafaa kwa internet cafe za desk top say 4 mpaka sita??? Nilijaribu TTCL broadband lakini rate zao zilionekana kuwa ghali kiasi kwa wamachinga type ya vibiashara.

Tafadhali naombeni ushauri wenu hata kwa ISP wengine.

Ahsante,
 
Wandugu,Nami pia nina shida inayofanana kiasi na hii!

Vipi ISP ya CATS net (sina uhakika kama nimepatia jina lake) huduma zake zikoje na zinafaa kwa internet cafe za desk top say 4 mpaka sita??? Nilijaribu TTCL broadband lakini rate zao zilionekana kuwa ghali kiasi kwa wamachinga type ya vibiashara.

Tafadhali naombeni ushauri wenu hata kwa ISP wengine (kwa DSM).

Ahsante,
 
Kweli hawa maprovide wanachanganya kama kuna watu watu saidie maelezo maana TTCL GB 20 KWAMEZI NI 4500000
 
INgawa ni kipundde tangu nitoke huko so sina utaalamu na ni jinsi gani masuala ya huko kwetu yanavyoenda lakini nitaongelea kitaalamu kwani niyo ni fani yangu na ni CCNA holder.
Kipindi unachagua ISP kunavitu vya msingi ambavyo unatakiwa kuangalia so kwanza ninahitaji kujua baadhi ya haya mambo ili yanisaidie katika kujua je unahitaji kitugani lakini nitajitahidi kufafanua kidogo.
Jambo la kwanza na lamuhimu ni kuangalia kati ya hizo computer zako 20 ulizosema je unahitaji mfumo gani wa kuziunganisha,hapa nina maana kwa siku hizi za karne ya 21 watu huwa wanaangalia privacy kwa umakini sana sasa kama wewe unahitaji kuziunganisha zote bila ya kuwa na privacy yoyote hapa nina maanisha kuwa mtu aliyekatika computer yoyote anauwezo wa kuona trafic zote nina maana you are in the same collisin domain basi unaweza kununua hizi Router kwa ajili ya soho ambazo zinafanya kazi kama Switch ila ni router(Inbuilt switch)so wewe huna tatizo ni kitendo cha kwenda kununua IP moja toka kwa huyo ISP wako yeyote vle na kuset DHCP(Dynamic Host Control Protocol) ambayo inagawa LOCAL IP kwa kila device inayotuma request hii tunaifananisha na Dynamic NAT ambapo hutumika sana punde unapohama toka ISP mmoja kwenda mwingine.Ni easy hata mimi naweza nikakutumia manual jinsi ya kufanya hivyo na baada ya hapo kama kawa ila cha muhimu tu inatakiwa ununue Bandwidth kubwa kidogo so kama una computer nane nadhani 8MB inatosha ni kama za watu wa wireless kwakuwa kama una PC 20 nadhani huna matumizi makubwa sana pia hata 4MB si haba.(Note:Unanunua IP moja tu)
La pili ni kuwa kama unataka kidogo kuwa na kajiprivacy basi hapo mkuu huna haja ya kutafuta router mimi ninapendekeza ununue CISCO router kwani ndio zipo kwenye market sana,unaweza pata 26*** series zinatoa tu then ukamtafuta mtu ambaye ataifanyia mambo.kwa bahati nzuri kwa sasa Cisco router zote zinakuja na kitu kinaitwa CNA(Cisco Networking Assistan) ambayo ina GUI(Graphical User Interface) wewe ni kubonyeza next next nakuingiza data chache then kitu mwake mambo ya command line Interface ni mambo ya akina Shy,so maisha hapo yanakuwa rahisi kidogo.
kama utanunua hiyo router hakikisha ni new version then hata mimi ninaweza kukusaidia kuconfigure punde baada ya kuistall CNA na kuweza unganisha PC moja nitakuambia ni nini cha kufanya(Tunatumia Telenet au SSH) ila kwa sababu za kiusalama huu sio ushauri mzuri kwani usiamini kila mutu.
NInahitaji details kidogo ili nikushauri zaidi,je hizo PC 20 zinatumikaje,kama ofisi ni kazi aina gani,zipo eneo moja au tofauti...
Sorry kwa maneno mengi si unajua si wengine ngenga tushazoea tena.
 
..ttcl[ttclmobile] na zantel.

..zantel ni rahisi zaidi na utalipa kadri unavyotumia!kwa prepaid!ni kama tshs 50 na kitu hizi kwa 1 mb.

..ila zantel ipo dar,unguja na pemba tu!. ttcl ni almost nchi nzima!

Shukrani kwa Maelezo
 
INgawa ni kipundde tangu nitoke huko so sina utaalamu na ni jinsi gani masuala ya huko kwetu yanavyoenda lakini nitaongelea kitaalamu kwani niyo ni fani yangu na ni CCNA holder.
Kipindi unachagua ISP kunavitu vya msingi ambavyo unatakiwa kuangalia so kwanza ninahitaji kujua baadhi ya haya mambo ili yanisaidie katika kujua je unahitaji kitugani lakini nitajitahidi kufafanua kidogo.
Jambo la kwanza na lamuhimu ni kuangalia kati ya hizo computer zako 20 ulizosema je unahitaji mfumo gani wa kuziunganisha,hapa nina maana kwa siku hizi za karne ya 21 watu huwa wanaangalia privacy kwa umakini sana sasa kama wewe unahitaji kuziunganisha zote bila ya kuwa na privacy yoyote hapa nina maanisha kuwa mtu aliyekatika computer yoyote anauwezo wa kuona trafic zote nina maana you are in the same collisin domain basi unaweza kununua hizi Router kwa ajili ya soho ambazo zinafanya kazi kama Switch ila ni router(Inbuilt switch)so wewe huna tatizo ni kitendo cha kwenda kununua IP moja toka kwa huyo ISP wako yeyote vle na kuset DHCP(Dynamic Host Control Protocol) ambayo inagawa LOCAL IP kwa kila device inayotuma request hii tunaifananisha na Dynamic NAT ambapo hutumika sana punde unapohama toka ISP mmoja kwenda mwingine.Ni easy hata mimi naweza nikakutumia manual jinsi ya kufanya hivyo na baada ya hapo kama kawa ila cha muhimu tu inatakiwa ununue Bandwidth kubwa kidogo so kama una computer nane nadhani 8MB inatosha ni kama za watu wa wireless kwakuwa kama una PC 20 nadhani huna matumizi makubwa sana pia hata 4MB si haba.(Note:Unanunua IP moja tu)
La pili ni kuwa kama unataka kidogo kuwa na kajiprivacy basi hapo mkuu huna haja ya kutafuta router mimi ninapendekeza ununue CISCO router kwani ndio zipo kwenye market sana,unaweza pata 26*** series zinatoa tu then ukamtafuta mtu ambaye ataifanyia mambo.kwa bahati nzuri kwa sasa Cisco router zote zinakuja na kitu kinaitwa CNA(Cisco Networking Assistan) ambayo ina GUI(Graphical User Interface) wewe ni kubonyeza next next nakuingiza data chache then kitu mwake mambo ya command line Interface ni mambo ya akina Shy,so maisha hapo yanakuwa rahisi kidogo.
kama utanunua hiyo router hakikisha ni new version then hata mimi ninaweza kukusaidia kuconfigure punde baada ya kuistall CNA na kuweza unganisha PC moja nitakuambia ni nini cha kufanya(Tunatumia Telenet au SSH) ila kwa sababu za kiusalama huu sio ushauri mzuri kwani usiamini kila mutu.
NInahitaji details kidogo ili nikushauri zaidi,je hizo PC 20 zinatumikaje,kama ofisi ni kazi aina gani,zipo eneo moja au tofauti...
Sorry kwa maneno mengi si unajua si wengine ngenga tushazoea tena.

THANKS SO MUCH I WORK ON IT.
 
Wandugu,Nami pia nina shida inayofanana kiasi na hii!

Vipi ISP ya CATS net (sina uhakika kama nimepatia jina lake) huduma zake zikoje na zinafaa kwa internet cafe za desk top say 4 mpaka sita??? Nilijaribu TTCL broadband lakini rate zao zilionekana kuwa ghali kiasi kwa wamachinga type ya vibiashara.

Tafadhali naombeni ushauri wenu hata kwa ISP wengine.

Ahsante,

..kama unatafuta unafuu nenda zantel kaongee nao!

..hao wengine waache kwanza.
 
Kwa sasa mimi natumia TTCL BROADBAND na CELTEL najua utauliza ni kwanini CELTEL naitumia kwa sababu nikiwa mbali na mji yenyewe huniunganisha kutumia modem hiyo TTCL BROADBAND ni ya nyumbani kwa sasa napenda kukuambia kwamba TTCL BROADBAND ndio ambayo iko haraka na ufanyaji wake wa kazi ni wa uhakika zaidi sema tu kuna wakati mfano mvua zikinyesha huwa zinakata mawasiliano kwa sekunde chache ingawa haikati moja kwa moja

Kwahiyo ndugu yangu nenda TTCL Ulizia TTCL BROADBAND kwa uhakika na urahisi zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom