Nisaidie ushauri wenu muhim sana kwangu

Nasra82

Member
May 12, 2010
12
0
Habari zenu wana HY! mimi kwa mara ya kwanza naomba msaada wa mawazo yenu, mnisaidie kwa tatizo kubwa nililonalo!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!
 
Habari zenu wana HY! mimi kwa mara ya kwanza naomba msaada wa mawazo yenu, mnisaidie kwa tatizo kubwa nililonalo!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!

Pole sana!.

Unacho hofia ni nini? kuikubali hali halisi ndio suluhisho la yoote.vile itakavyotokea ni hivyo hivyo kwani hata mtu akikushauri vipi wewe ndie mwenye mwili na uamuzi wa mwisho.

Wakati yawezekana huna VVU, waweza kuathirika kwa msongo wa mawazo ukapata magonjwa mengine mengi kwa hofu ambazo hazina msingi.

wakati wote unashauriwa kuwa tayari kuiikubali hali yoyote, iwe kwa kujitakia au kusababishiwa.. Zaidi ni kuomba Mwenyezi Mungu akunusuru kwa yote.

CHUKUA HATUA ILIYO SAHIHII, EPUKA HOFU AMBAZO HAZIKUSAIDII KWA AFYA YAKO NA KIUMBE UNACHOKITARAJIA!
 
pole sana dearest na umenikumbusha mbali sana, nakushauri kuwa mvumilivu ukapime na ukikuta tofauti kaza roho dear, cku hizi kuna kinga za kumkinga mama na mtoto, wahi haraka ku check kwa mara nyingine, ni ngumu lakini inabidi....naku pm kukuelezea kitu.
 
Habari zenu wana HY! mimi kwa mara ya kwanza naomba msaada wa mawazo yenu, mnisaidie kwa tatizo kubwa nililonalo!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!

Nasra kwanza pole kwa mawazo na hongera kwani majibu yameonyesha uko salama.
Kwanza rudi tena clinic pima uwe na uhakika hii ni kwa usalama wako na wa mtoto. kwa kujua status yako itasaidia wauguzi kukupa ushauri unaofaa na dawa kama ikibidi kwa ajili ya kumkinga mtoto wako asipate maambukizi, na pia wakati wa kujifungua watafanya extra care kumkinga mtoto na atapewa dawa. lakini uwezekano wa wewe kutoambukizwa upo kwani mbona kuna watu wanaishi mmoja akiwa positive na wameweza kuwa na mtoto negative?
Baada ya kujua status yako nivyema kutumia kinga wakati wote utakapokutana na mumeo, na ucje mnyanyapaa mumeo kwani ndoa ni kuvumiliana katika raha na shida. japo umri wako bado mdogo sana kukabiliano na hali hii lakini kadri siku zinavyosonga utaikubali . mjali sana mumeo bse imagine we huna ulivyochanganyikiwa yy ni zaidi anauhitaji upendo wako sana na assuarence from you kwamba maisha bado yapo. bado mnaweza furahia maisha pamoja na ukimwi. Punguza mawazo si mazuri kwa kiumbe huyo uliembeba.
 
pole sana dearest na umenikumbusha mbali sana, nakushauri kuwa mvumilivu ukapime na ukikuta tofauti kaza roho dear, cku hizi kuna kinga za kumkinga mama na mtoto, wahi haraka ku check kwa mara nyingine, ni ngumu lakini inabidi....naku pm kukuelezea kitu.

Asante mpendwa nasubiri hiyo pm! Nawashukuru na wengine wote kwa mawazo yenu
 
Pole sana. Tafuta ushauri kwa Wataalam jinsi ya kukabiliana na hali hii. Pia uliza maswali kuhusu kujamiina ndani ya ndoa yako maana mpaka sasa wewe inaelekea uko salama lakini ni lazima uhakikishe unajikinga kwa kila hali ili nawe usiathirike kama mwenzio. Pole sana.
 
Pole sana dada. Hakuna tatizo lisilo na njia ya kutokea,Kwa imani yeyote ile ya dini uliyoko nayo au hata kama huamini katika Mungu tafadhali chukua biblia yako soma huu mstari Isaya 45:2
 
Habari zenu wana HY! mimi kwa mara ya kwanza naomba msaada wa mawazo yenu, mnisaidie kwa tatizo kubwa nililonalo!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!

HY ndio nini naombeni ufafanuzi mwenzenu kabala sijaanza kuchangia....Kuuliza si uijnga ila nikujifunza..
 
dear hiyo HY ni ki2 gani?

Hiyo HY ni blog inaitwa Harusi yangu, nimeizoea sana ata ukiangalia huku mie ni mgeni sana sasa nimekosea baada ya kuandika JF nimeandika HY poleni kwa usumbufu, sijacopy mahali ni tatizo lililonifika kwaiyo nisaidieni wana JF
 
Hiyo HY ni blog inaitwa Harusi yangu, nimeizoea sana ata ukiangalia huku mie ni mgeni sana sasa nimekosea baada ya kuandika JF nimeandika HY poleni kwa usumbufu, sijacopy mahali ni tatizo lililonifika kwaiyo nisaidieni wana JF

eeehh.....
 
Pole Mama Nasra. Hongera kwa kukuta -ve. MUNGU akujalie na ukipima tena utakuta hivyohivyo. Jipe moyo kwani MUNGU ni mweza wa yote.
 
nyamayao ........hakuna atakaedesa na kuja hapa kusema mumewe ana VVU na yeye ana hofu. huyu tatizo analo kweli

ushauri wangu kwako nasra ni: nendeni nyote wawili mkapime tena (katika hospitali nyengine.........kuna watu ambao wamewahi kupima Aga Khan ikakutikana kumbe ilikosewa, pia namjua mtu alipima muhimbili akaambiwa anao akenda hospitali nyengine kama tatu akaambiwa hana)

ukishakujua kama mume wako anao na wewe huna ..........hapo kaa chini omba mungu akupe nguvu za kuweza jambo hilo kwanza.

kisha onana na wataalamu watakupa namna ya kukabiliana na suala hilo
 
Back
Top Bottom