Habari zenu wana HY! mimi kwa mara ya kwanza naomba msaada wa mawazo yenu, mnisaidie kwa tatizo kubwa nililonalo!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!
Mie ni msichana wa umri wa 28 na nimebahatika kupata mume ninaempenda sana, mwenyezi mungu ametujaalia pia kuwa tutapata mtoto karibuni akipenda yeye Inshaalah, tatizo linakuja hivi " Nilipoanza clinic kw mara ya kwanza kabisa nilienda na mr. na ktk kupima VVU tulipata majibu tofauti! mme amekutwa + na mimi nimekutwa -, wapendwa wa HY hii si mara ya kwanza kwetu kupima tulipima siku za nyuma na majibu yalikuwa mazuri kw wote! tangia nimeanza clinic 3 months tayari sshivi lakn jamani cna amani kabisa naogopa kurudi kuchek tena, japo sina dalili yoyote ile na wala siumwi namshukuru mungu, Najipa moyo kuwa wikiendi hii niende kituo chochote kucheck tena, jamani ukweli ni kwamba cna amani ya moyo kabisa, nawaza, namuomba mungu anihepushe ata cjui nifanye nn tu lakn ndio limeshanifika, naomba mnisaidie hivi ukikutana na situation km hii unawezaje kuikubali? na unakabiliananayo vp? mi sina ugomvi na mme wangu wala hakuna tofauti yeyote tangia limetokea hili ila tu mawazo kichwani kwangu hayaishi, nisaidieni jamani sijui ata nianzie wapi lakn hili tatizo linanikosesha amani! Naomba mniombee wapendwa mwenyezi mungu aninusuru, pia naombeni mnijuze jinsi ya kuishi ktk hali hii!