Habarini wajameni,
Baada ya kuhangaika na bei za Noah show rooms hatimaye nimenyoosha mikono.maana bei imepanda sana.Nimefanikiwa kukutana na gari hii BF na muonekano wake ni kama Noah ila gharama yake ya manunuzi ni ndogo kidogo ukilinganisha na Noah..hivyo naomba kwa anayezifahamu gari hizi anifahamishe Ubora na Udhaifu wake.msaada wenu ni muhimu kwangu.